Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OIL MPYA YA MAGARI NA MITAMBO YAANZA KUUZWA NCHINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la F-Zone (T) Ltd, Mtitu Game akiwa na mteja kwenye duka hilo lililopo mtaa wa Kariakoo na Msimbazi jijini Dar. Wafanyakazi wa Duka la Mtitu Game wakishikilia madumu yenye oil ya NEXTOIL.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Aina mpya Oil ya magari na mitambo ya NEXTOIL imeingia

Aina mpya Oil ya magari na mitambo ya NEXTOIL imeingia nchini na kesho inazinduliwa rasmi chini ya duka la F-ZONE (T) LIMITED lililopo jijini Dar es salaam Mtaa wa Kariakoo na Msimbazi. Wasiliana nao kwa simu +255 757222480Sehemu ya shehena ya NextOil kutoka Triton kama inavyoonekana kwenye duka la F-Zone (T) Limited lililopo mtaa wa Msimbazi Kariakoo, Dar.

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE: “Serikali yafuta vikwazo vyote kwa Madereva Nchini..magari yaanza safari muda huu

waziri KabakaWaziri wa Kazi na Ajira nchini, Gaudensia Kabaka akiongea na madereva kwa kutumia kipaza sauti mapema mchana huu na kufuta baadhi ya vikwazo walivyokuwa wakivipinga madereva.

..Mgomo wadumu masaa 9..abiria waonja shubiri ya mabomu ya machozi ..Kamanda Kova, Waziri Kabaka ‘Mashujaa’ wamaliza mgomo ‘kiana’ Madereva wawasubiri Aprili 18

Andrew Chale wa Modewji blog

Hali ya mambo katika ‘segere’ la Madereva Nchini la kuweka mgomo baridi la kutoingia barabarani hadi hapo madai yao ya msingi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sigara ya bangi yaanza kuuzwa Uingereza

Wakati sigara ya kwanza ya bangi ya kieletcroniki ilipozinduliwa mnamo mwezi juni ilikuwa ikipatikana ughaibuni pekee.

 

5 years ago

Michuzi

MITAMBO YA DKT. BASHIRU YAANZA KULIPUKA MTWARA


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake ya siku tatu Mkoani Mtwara, Mbunge wa Tandahimba Ndg. Katan Ahmed Katan amejivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM hapo jana.

Mbunge huyo wa Tandahimba, amejiunga na CCM jana tarehe 21 Februari, 2020 katika mkutano wa ndani uliokuwa ukiendelea katika jimbo la Nanyamba Mtwara vijijini, ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu kwa niaba ya wanachama wote wa CCM.

Katibu Mkuu akifafanua kabla ya kumpokea Mbunge huyo,...

 

11 years ago

Michuzi

Mitambo ya IPTL yaanza kuzalisha megawati 100

·        IPTL kuongeza uzalishaji hadi megawati 200 mwakani·        Kushusha zaidi bei ya umeme hadi chini ya senti nane za marekani
UZALISHAJI umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100 ambayo ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake, kiwango kilichofikiwa tarehe 15 Juni, huku uongozi wa kampuni hiyo wakiahidi kutekeleza mipango mkakati yake yote ya utanuzi kwa awamu.  
Hayo yalibainishwa na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza mafuta magari na mitambo ya taasisi za Umma

Mkurugenzi wa Uendeshaji toka wakala wa huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) bw. Naftal Singwejo akieleza kwa waandishi wa habari kuhusu mfumo mpya wa kielektroniki utakaotumika katika kutoa huduma ya mafuta kwa magari ya Serikali na mitambo ili kuongeza tija katika utoaji wa huduma hiyo kwa Taasisi ,Wakala na Wizara zote .kushoto ni Mkurugenzi Himili Biashara Bw. Malik Aram.
Na Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza...

 

10 years ago

Michuzi

JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.

Wakopwaji/wadaiwa  wamekuwa  wakipata shida sana  kutoka  kwa wanaokopesha. Mkopesha awe ni mtu binafsi, taasisi ya fedha , kampuni  binafsi au mwingine  yeyote  wamekuwa  wakiwasumbua sana  wadeni  wao. Kubwa  zaidi hasa taasisi za fedha hutumia masharti ya mikataba ambayo  huwa yameandaliwa kitaalam kiasi cha  mtu ambaye  si mwanasheria  kutoelewa kwa undani maana  yake  kuwabana wadeni  ambao  hushtukia  masharti hayo baada  ya  kuwa wameshaanza  kudaiwa. Mbaya  zaidi  wamekuwa  wakifanya...

 

10 years ago

Michuzi

JEZI MPYA ZA SIMBA KUUZWA HADI MTANDAONI

 KLABU ya Simba kwa kushirikiana na Kampuni ya kuuza vitu kwa njia ya Mtandao ‘Jumia’ wamezindua huduma ya kununua jezi za Simba 2015-2016 ‘Jumia – Simba Online Shop’ kupitia katika duka la mtandao la Jumia Iiitwayo la www.jumia.co.tz.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema dhumuni la huduma hiyo ni kuwapatia wapenzi wa klabu ya Simba njia bora ya kuweza kununua jezi popote walipo nchini.Aveva alisema klabu ya Simba inapanga kuongeza upatikanaji wa vifaa vyake...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA SMART OIL YAANZA KUCHUKUA TAHADHALI YA KORONA BUKOBA.


Mkurugenzi wa Kampuni ya Smart Ndg. Remigius Nshange maarufu Dkt. Remmy akionesha utayari na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola, mara baada ya kupatiwa mafunzo kutoka kwa maafisa Afya.Afisa Afya Gabriel Zakaria kutoka Bukoba Manispaa akifundisha kwa vitendo namna ya kuosha mikono kwa sabuni wakati wa kuchukua tahadhali ya Ugonjwa wa Korona. Kituo cha Mafuta cha Smart Oil kilichopo Kibeta Bukoba Manispaa kama kilivyokutwa na Kamera yetu.

Wafanyakazi na wahudumu wa Kituo cha Mafuta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani