JEZI MPYA ZA SIMBA KUUZWA HADI MTANDAONI
KLABU ya Simba kwa kushirikiana na Kampuni ya kuuza vitu kwa njia ya Mtandao ‘Jumia’ wamezindua huduma ya kununua jezi za Simba 2015-2016 ‘Jumia – Simba Online Shop’ kupitia katika duka la mtandao la Jumia Iiitwayo la www.jumia.co.tz.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema dhumuni la huduma hiyo ni kuwapatia wapenzi wa klabu ya Simba njia bora ya kuweza kununua jezi popote walipo nchini.Aveva alisema klabu ya Simba inapanga kuongeza upatikanaji wa vifaa vyake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Oct
Hii ndo top 10 ya wachezaji ambao jezi zao zinaongoza kuuzwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s72-c/download.jpg)
JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s1600/download.jpg)
10 years ago
GPLOIL MPYA YA MAGARI NA MITAMBO YAANZA KUUZWA NCHINI
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba
![Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Kiongera.jpg)
Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera
NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnX2*RslZP5lIr9MScZZBvrw-d23H-cJM945dHaty6ByKdz8TnZkMgmXJUSMLit8pEbT*cEHDN5dXU*sgpgsQ4H/loga.gif?width=600)
Loga amgawia jezi ya Simba, mchungaji Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWPRztTbChcTq5lCdQzj1hXKOvTpdIt-5EF0jdY2Y9s-n2pWe3kW9BcDPwuLIg*NolUO6KWPtzEq3htHVp7AD2EG/SHAFII.jpg?width=650)
WINGA Mbeya City aitaka jezi ya Simba kwa Sh 45m
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-izMhQ2s-AI8/U7VH9DgzCuI/AAAAAAABCHc/1CAQzYmgQNk/s1600/article-0-1F5A429000000578-193_634x992.jpg)
10 years ago
Bongo520 Jul
Picha: Zitazame jezi mpya za Chelsea