Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sigara ya bangi yaanza kuuzwa Uingereza

Wakati sigara ya kwanza ya bangi ya kieletcroniki ilipozinduliwa mnamo mwezi juni ilikuwa ikipatikana ughaibuni pekee.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BANZA: NILIANZA SIGARA, BANGI, UNGA ILA SASA…

MWIMBAJI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefunguka mazito juu ya matumizi mabaya ya bangi na madawa ya kulevya ikiwa ni pamoja na jinsi alivyokuwa akiyatumia. Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kabla ya kufanya mahojiano na Global TV Online. Akizungumza kupitia Kipindi cha Mtu Kati cha Global TV Online mwanzoni mwa wiki hii, Banza alikiri kutumia madawa ya kulevya na...

 

10 years ago

GPL

OIL MPYA YA MAGARI NA MITAMBO YAANZA KUUZWA NCHINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la F-Zone (T) Ltd, Mtitu Game akiwa na mteja kwenye duka hilo lililopo mtaa wa Kariakoo na Msimbazi jijini Dar. Wafanyakazi wa Duka la Mtitu Game wakishikilia madumu yenye oil ya NEXTOIL.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mjadala wa madhara ya uvutaji bangi wapamba moto uingereza

Neno lenye maana na majina mengi. Marijuana. Cannabis. Sigara kali. Spliff. Kaya. Na kadhalika. Kwa Kiswahili asili ya neno “bhang” ni Kihindi. Sina hakika kama zamani kabla ya ujio wa wageni tulilienzi jani hili. Jani lililo mkebe mmoja na “kunguni” wa dawa za kulevya.

 

10 years ago

Michuzi

JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.

Wakopwaji/wadaiwa  wamekuwa  wakipata shida sana  kutoka  kwa wanaokopesha. Mkopesha awe ni mtu binafsi, taasisi ya fedha , kampuni  binafsi au mwingine  yeyote  wamekuwa  wakiwasumbua sana  wadeni  wao. Kubwa  zaidi hasa taasisi za fedha hutumia masharti ya mikataba ambayo  huwa yameandaliwa kitaalam kiasi cha  mtu ambaye  si mwanasheria  kutoelewa kwa undani maana  yake  kuwabana wadeni  ambao  hushtukia  masharti hayo baada  ya  kuwa wameshaanza  kudaiwa. Mbaya  zaidi  wamekuwa  wakifanya...

 

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

10 years ago

Habarileo

Zutta kuuzwa FC Platinum

MCHEZAJI wa Yanga, Joseph Zutta huenda akauzwa katika timu ya FC Platinum ya Zimbabwe baada ya timu hiyo kuonesha nia ya kutaka kumsajili.

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA GURUMO YASALIMIKA KUUZWA

Nyumba aliyokuwa akiishi marehemu Maalim Gulumo.
Mayasa Mariwata/ijumaawikienda
MKE wa aliyekuwa mwimbaji dansi Bongo, marehemu Muhidin Maalim Gurumo (Pichani), Pili Nassor amesema anamshukuru Mungu baada ya watoto wa mumewe kukaa na kukubaliana kutoiuza nyumba aliyokuwa akiishi na mumewe huyo iliyopo Tabata jijini Dar. Maalim Gulumo enzi za uhai… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Haruna Niyonzima akubali kuuzwa

Kiungo Haruna Niyonzima ameweka wazi kuwa hawezi kupingana na mpango wa uongozi wa klabu ya Yanga iliyopanga kumuuza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pikipiki ya kielektroniki kuuzwa Taiwan

Pikipiki ya kielektroniki ilio na betri zinazoweza kubadilishwa inatarajiwa kuuzwa nchini Taiwan kwa bei ya dola 4,140.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani