Aina mpya Oil ya magari na mitambo ya NEXTOIL imeingia
Aina mpya Oil ya magari na mitambo ya NEXTOIL imeingia nchini na kesho inazinduliwa rasmi chini ya duka la F-ZONE (T) LIMITED lililopo jijini Dar es salaam Mtaa wa Kariakoo na Msimbazi. Wasiliana nao kwa simu +255 757222480
Sehemu ya shehena ya NextOil kutoka Triton kama inavyoonekana kwenye duka la F-Zone (T) Limited lililopo mtaa wa Msimbazi Kariakoo, Dar.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLOIL MPYA YA MAGARI NA MITAMBO YAANZA KUUZWA NCHINI
Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la F-Zone (T) Ltd, Mtitu Game akiwa na mteja kwenye duka hilo lililopo mtaa wa Kariakoo na Msimbazi jijini Dar. Wafanyakazi wa Duka la Mtitu Game wakishikilia madumu yenye oil ya NEXTOIL.…
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IC8d0lFIbyI/VFiQtjNTkAI/AAAAAAADMXc/-_oXuNR3MI4/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MALI MPYA IMEINGIA SOKONONI DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-IC8d0lFIbyI/VFiQtjNTkAI/AAAAAAADMXc/-_oXuNR3MI4/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-05bI3Oxo5KM/U2stPoSZJeI/AAAAAAAFgNE/no6zEDapDuE/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Serikali kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza mafuta magari na mitambo ya taasisi za Umma
![](http://2.bp.blogspot.com/-05bI3Oxo5KM/U2stPoSZJeI/AAAAAAAFgNE/no6zEDapDuE/s1600/unnamed+(5).jpg)
Na Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza...
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Magari milioni 1.4 aina ya jeep kurudishwa
Kampuni ya magari ya Fiat Chrysler kutoka Marekani imeyarudisha magari yake yapatayo milioni 1.4 baada ya watafiti wa usalama kuonyesha kuwa magari yao yanaweza kudukuliwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E7FOb1Dja1c/VUx3R2NGKDI/AAAAAAABN30/e1izH-9fJw8/s72-c/4.jpg)
MAGARI AINA YA NISSAN MURANO NA TOYOTA LAV4 YANAUZWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E7FOb1Dja1c/VUx3R2NGKDI/AAAAAAABN30/e1izH-9fJw8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yBwwso3cSxY/VUx3Sr5HljI/AAAAAAABN4A/KSzqQ9GkokE/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mmm2M7IVc8E/VUx3Q30XYHI/AAAAAAABN3o/b3ECh9SSAys/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wofo90TaMOc/VUx3RFFc9FI/AAAAAAABN3s/jwIiZe7iif8/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oLyq8o2uaNk/VQpWNCB3_aI/AAAAAAAHLYQ/89fODLVo_DA/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Airtel yakabadhi wakaazi wawili wa Mkoa wa Manyara magari aina ya Toyota IST
Wakaazi wa wawili wa wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kwa pamoja wamezawadiwa magari yao aina ya Toyota IST mara baada ya kuibuka washindi katika droo za promosheni ya Airtel yatosha Zaidi inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Mpaka sasa jumla ya washindi 37 wameshapatikana kutoka katika mikoa mbalimbali ikiwa bado promosheni inaendelea na magari mengi bado yanasubiri washindi ili wakabithiwe akiongea wakati wa halfa ya kukabidhi magari kwa wateja wa Airtel Mkoani...
10 years ago
MichuziZEST YAZINDUA AINA MPYA YA SIMU
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Kimataifa ya Zest imezindua simu mpya zenye huduma zote muhimu kwa bei nafuu.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hizo jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Salum Awadh amesema kuwa simu hizo ambazo ni imara zitauzwa kwa bei nafuu ili kila mtu aweze kununua.
"tumeingiza sokoni simu mpya aina ya 7 Mobile ambazo zina huduma za mitandao ya kijamii ikiwemo Internet, Whatsap pamoja na Facebook huku bei yake ikiwa ni 35,000, aina nyingine ni Tablet...
Kampuni ya Kimataifa ya Zest imezindua simu mpya zenye huduma zote muhimu kwa bei nafuu.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hizo jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Salum Awadh amesema kuwa simu hizo ambazo ni imara zitauzwa kwa bei nafuu ili kila mtu aweze kununua.
"tumeingiza sokoni simu mpya aina ya 7 Mobile ambazo zina huduma za mitandao ya kijamii ikiwemo Internet, Whatsap pamoja na Facebook huku bei yake ikiwa ni 35,000, aina nyingine ni Tablet...
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Aina mpya ya Malaria yatishia Waafrika
Watafiti wanaonya kuwa aina mpya ya Malaria isiyosikia dawa itahatarisha maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Aina mpya 27 za wanyama zagundulika misituni nchini
Profesa Neil Burgess, anayeongoza barani Afrika kwa utaalamu wa baioanuai na mwenyekiti mwenza wa TFCG, anasema milima ya tao la Mashariki imekuwa ikijulikana kwa muda mrefu kuwa na aina nyingi za viumbe ijapokuwa kumekuwa na ukosefu wa takwimu sahihi hasa katika maeneo sita kati ya 13 ya milima hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania