NSSF YAWAKUMBUSHA WANACHAMA WAKE KUCHUKUA TAHADHALI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RhOiwZ5d_y0/XnX4QH-4QwI/AAAAAAALkpI/ASoM296wd9IbFi_qaRvi4szLLx7-15NnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-21%2Bat%2B09.42.15.jpeg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0012.jpg)
RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200421-WA0012.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200421-WA0009.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari .
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Mkuu wa WHO Afrika akosoa kasi ya Tanzania kuchukua tahadhari
Serikali ya Tanzania imesema haitachukua hatua zitakazoumiza uchumi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OUOhUfH_2ao/XqMLYpo0AdI/AAAAAAALoIY/AEkNAvMKvFQUvLGK0UkFqkGAIIaFyRKqwCLcBGAsYHQ/s72-c/94312930_2741905162575055_8908452115450429440_o.jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania