NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA
![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnb3ruxOBgtQ1KYMNM1l9xeWC0P74ILCf2n89IE49bO3vXs8F9Mr8FJ1oI-vM4XfqfLBUjUgXMo57q2If1PlQ73/NDOA.jpg)
Stori: Shakoor Jongo KIMENUKA! Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne inadaiwa kuvunjika, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuiripoti. Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljwhEuUjKvMVAp-iRjHxfFUg3Yu4XyzHnPUlJj9qp-Zp2vqihlA4-VZVI7GnBuYbWy9B1bS5swaiUNFBbzbbkGMv/ndoacopy.jpg?width=650)
NDOA YA SHAMSA YAVUNJIKA!
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Ndoa ya Arsene Wenger yavunjika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-CPc1ecL0OYcTjYOwBgXhZ69uWaIS42wyohB-VmkWItCadhwZcIhlXqNB70AmkfREk3P83*GVTy0cmPPHnPjpF1/dida.jpg)
DIDA NDOA TENA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwV48Ap1slAUjBX2aGdCNAd1MkUc*jlAWism9rc7AoSAseL0Wj6zVQC0Kn1o74nAfaHyb5hBrnmkvLd5jcoFJqu/dida1.jpg?width=650)
NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGYaRxEb4wTCU7re1QbtfkP*c11IJpk1ckrjTwhCrHLkJlqRF5VRc5iw*PmXAfTgI3HC6L8glxBa7XHyc31ZaVfB/joketi.jpg?width=650)
AKU, SIJAVUNJA NDOA YA DIDA –JOKATE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1eziden-3.jpg)
EZDEN JUMANNE: NDOA YANGU NA DIDA IMENIFUNZA MENGI
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Mazungumzo Yemen yavunjika
10 years ago
Habarileo21 Mar
Mazungumzo magari ya Tanzania, Kenya yavunjika
MAZUNGUMZO ya Watendaji na Mawaziri wa Tanzania na Kenya kuhusu kuzuiwa kwa magari ya kitalii ya Tanzania kuingia katika Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, yamevunjika.