Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EZDEN JUMANNE: NDOA YANGU NA DIDA IMENIFUNZA MENGI

Mtangazaji wa Runinga ya TV1, Ezden Jumanne kabla ya kufanya mahojiano Global TV akitabasamu. ...Akijibu maswali ya wafanyakazi (hawapo pichani) wa Global Publishers kupitia Global TV Online. ...Akiwa amepozi baada ya kumaliza mahojiano.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIDA, EZDEN WAMEBAKI MARAFIKI

Stori: Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko
WATANGAZAJI ambao walikuwa wanandoa kabla ya kuachana, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wamemaliza tofauti zao na sasa wamekuwa marafiki sana kiasi cha kuzua minong’ono kwamba wamerudiana. Watangazaji, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wakati wakiwa wanandoa. Baada ya minong’ono hiyo kuzidi, Risasi Vibes ilimtafuta Dida ili kueleza...

 

10 years ago

GPL

DIDA: EZDEN AKIOA, NITAANZA KUMCHANGIA!

Na Imelda Mtema
MTANGAZAJI mwenye maneno lukuki kutoka Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amesema kuwa endapo mtalaka wake, Ezden Jumanne akitaka kuoa yeye atakuwa wa kwanza kutoa mchango wa harusi hiyo. Mtangazaji kutoka Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’. Dida ambaye kwa sasa yupo singo, alisema japokuwa wameacha na Ezden, lakini hana bifu naye kwa sababu anaamini kuwa yuko katika harakati...

 

11 years ago

GPL

DIDA, EZDEN WAKUTANA COCO BEACH WAKAUSHIANA

Stori: Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
WATANGAZAJI wawili waliokuwa wanandoa kabla ya kutengana hivi karibuni, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne, mwishoni mwa wiki walikaushiana kama watu wasiofahamiana baada ya kukutana katika hafla iliyofanyika katika ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam. Khadija Shaibu ‘Dida’ akiwa ndani ya ofisi za Times FM. Wawili hao walikutana wakati wa uzinduzi wa...

 

11 years ago

GPL

EZDEN AFUNGUKA KUACHANA NA KHADIJA SHAIBU 'DIDA'

Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe, Ezden Jumanne siku ya harusi yao. Baada ya ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu 'Dida' kudaiwa kuvunjika, mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne amefunguka mengi kuhusu sababu za kuvunjika ndoa hiyo. Ili kujua ni nini amezungumza, ungana na Global TV Online na soma magazeti ya GPL Jumatano ya Julai 2, 2014 kupata...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI

She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram 

 

11 years ago

GPL

NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA

Stori: Shakoor Jongo KIMENUKA! Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne inadaiwa kuvunjika, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuiripoti. Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah SIKU chache baada ya kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’, aliyekuwa mumewe, Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne ameibuka na kutoa sababu kuu tatu za kutengena kwao, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Khadija Shaibu ‘Dida’ na Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne wakipozi. Akizungumza na waandishi wetu katika nyumba aliyohamia kwa sasa, Kijitonyama, Dar,...

 

11 years ago

GPL

DIDA NDOA TENA!

Stori: Waandishi wetu
SIKU chache baada ya kudai hawezi kuolewa kwa sasa, mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’, ameonesha matumaini mapya ya kuolewa baada ya kumwanika mchumba’ke mpya. Mtangazaji wa Kipindi wa Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida' akimlisha keki Shemeji yake, Feisal. Dalili za matumaini hayo mapya zilionekana usiku wa kuamkia Alhamisi...

 

9 years ago

Global Publishers

Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!

Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.

Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.

“Unajua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani