DIDA, EZDEN WAMEBAKI MARAFIKI
![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ZJvcOJwm-vEsQXve0KDHSycTf8Q0ujwFYEf6dUdqzk4VgIH35Q165F1O*A1P44-SIK1us**UyRaFamK-QSrN6k/d.jpg)
Stori: Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko WATANGAZAJI ambao walikuwa wanandoa kabla ya kuachana, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wamemaliza tofauti zao na sasa wamekuwa marafiki sana kiasi cha kuzua minong’ono kwamba wamerudiana. Watangazaji, Khadija Shaibu ‘Dida’ na Ezden Jumanne wakati wakiwa wanandoa. Baada ya minong’ono hiyo kuzidi, Risasi Vibes ilimtafuta Dida ili kueleza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Fq2bsSCmpz9fuzrcxOYQARQFo1bz52Kam2RSAB82LUc*j3WPf37Wzjc5L8N*IXxFTJc-TSeJ1-uWYg8oDjy2reA/Dida1.jpg)
DIDA: EZDEN AKIOA, NITAANZA KUMCHANGIA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEWwYG4nF95966TVAd8WDGB-gz0Jmhlj-RrUObjtzEB46BhePoH2jhZHplmwUGAcUPySZ3REx2IA7NbHZpdNDvfl/dida.jpg)
DIDA, EZDEN WAKUTANA COCO BEACH WAKAUSHIANA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1eziden-3.jpg)
EZDEN JUMANNE: NDOA YANGU NA DIDA IMENIFUNZA MENGI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmR4idIUlqDhA-Rfk9-ygseFbZ2LGvh5CuCKV5XIGREY0xvXGq7mN8azYP23AgPgcZTX8sTe3Qn06B4V5cgFyKR/didayamumewe.jpg?width=650)
EZDEN AFUNGUKA KUACHANA NA KHADIJA SHAIBU 'DIDA'
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Rais Magufuli ateua Mawaziri wanne waliokuwa wamebaki
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano yautawala wake
Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;
1.Profesa Jumanne Maghembe -Ameteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.
2.Dkt. Philip Mpango – Ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwV48Ap1slAUjBX2aGdCNAd1MkUc*jlAWism9rc7AoSAseL0Wj6zVQC0Kn1o74nAfaHyb5hBrnmkvLd5jcoFJqu/dida1.jpg?width=650)
NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0thNuVv-7FisJ1AhlJENfLG-Ox9oBQT2XFJZNg-KIiSqbr0G-GXGfC6Xwt3OFgCsPZc*NRqvMKfIDqyPElyusHBu/JEURI.jpg)
JEURI NYINGINE YA DIDA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnb3ruxOBgtQ1KYMNM1l9xeWC0P74ILCf2n89IE49bO3vXs8F9Mr8FJ1oI-vM4XfqfLBUjUgXMo57q2If1PlQ73/NDOA.jpg)
NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Bahanuzi amwonyesha Dida
![Said Bahanuzi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Said-Bahanuzi.jpg)
Said Bahanuzi
Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.
Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...