Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo Yemen yavunjika

Mazungumzo ya kutafuta amani na kusitisha vita vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Yemen yamevunjika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mazungumzo magari ya Tanzania, Kenya yavunjika

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.MAZUNGUMZO ya Watendaji na Mawaziri wa Tanzania na Kenya kuhusu kuzuiwa kwa magari ya kitalii ya Tanzania kuingia katika Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, yamevunjika.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yaandaa mazungumzo ya amani ya Yemen

Usitishwaji wa mapigano Yemen umeanza sambamba na mazungumzo ya amani yanayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa nchini Uswisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Yemen aliye uhamishoni ameiambia BBC kuwa serikali yake imejiandaa kwa mazungumza ya amani na waasi

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi

Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi

 

11 years ago

GPL

NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA

Stori: Shakoor Jongo KIMENUKA! Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne inadaiwa kuvunjika, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuiripoti. Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA SHAMSA YAVUNJIKA!

Imelda Mtema
Mshtuko! Weka pembeni mahaba niue waliyokuwa wakioneshana, staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka rasmi kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake ya kimila aliyofunga na mwanaume wake wa siku nyingi, Dickson ‘Dick’ akikiri kuwa amepoteza muda mwingi kwa mtu ambaye hakuwa na mapenzi ya dhati kwake.
Shamsa Ford akicheka baada ya kuulizwa swali alipotembelea Global TV… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndoa ya Arsene Wenger yavunjika

Ndoa ya kocha wa Arsenal, Arsene Wenger na mke wake, Annie iliyodumu kwa miaka mitano imevunjika baada ya miezi kadhaa ya uvumi.

 

9 years ago

Bongo5

Wagosi wa Kaya yavunjika rasmi, Dokta John aanzisha kundi lake

Wagosi wa Kaya

Msanii wa kundi la Wagosi wa Kaya, Dokta John amethibitisha kufa kwa kundi hilo na kwamba ameanzisha kundi jipya mjini Tanga liitwalo The Family.

Wagosi wa Kaya

“Ni kwamba mimi kama Dokta John kutoka kundi la Wagosi wa Kaya nimeamua sasa hivi kuanzisha familia yangu kwa malengo mazuri tu ya kufanya Tanga sasa hivi isikike katika muziki huu wa Hip Hop,” Dkt. John alikiambia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio.

“Na suala la huhusu harakati za albamu ya Wagosi wa Kaya, watu wangesoma...

 

10 years ago

IPPmedia

53 Tanzanians jet in from Yemen.


53 Tanzanians jet in from Yemen.
IPPmedia
The second batch of 53 Tanzanians has arrived in the country yesterday from the war-tone Yemen, making the total number of the returnees to 71 so far. The first batch of 18 Tanzanians arrived in the country April 21, 2015. Speaking when welcoming the 53 ...
50 return from war-torn YemenDaily News

all 3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani