Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saadani: Hifadhi ya kipekee nchini iliyokosa watalii

Unapozungumzia hifadhi 16 za taifa, Mbuga ya Saadani siyo maarufu masikioni mwa Watanzania wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UNESCO KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA IDARA YA MAMBO YA KALE KATIKA KUBORESHA HIFADHI NA KUVUTIA WATALII NCHINI

Baadhi ya washiriki wa warsha iliyoandaliwa na UNESCO pamoja na Idara ya Mambo ya Kale wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mr Adelhelm Meru kufungua warsha hiyo iliyofanyika Coral Beach jijini Dar Es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dr Adelhelm Meru akifungua warsha ya siku moja iliyoandaliwa na UNESCO kwa kushirikiana na Idara ya Mambo ya Kale kwaajili ya kujadili uboreshwaji wa utawala na matumizi endelevu ya hifadhi...

 

10 years ago

Mwananchi

Upekee wa Hifadhi ya Saadani usiotangazwa

Kila hifadhi ya taifa ina upekee wake. Na hicho hukifanya kuwa kivutio kwa watalii. Hifadhi ya Taifa ya Saadani ina vivutio vya kihistoria kama vile wanyama, mito na bahari. Nadhani ni hifadhi pekee inayoweka pamoja vivutio vyote.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani


NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza  rasmi mgogoro wa ardhi  uliodumu kwa kipindi kirefu  baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii  na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya  Taifa ya Saadani.
Aidha  serikali  imeiagiza Halmashauri  ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)  na wadau,  kurejea  mipaka ya zamani  ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka  mwaka 2005,  baada ya serikali kuipandisha...

 

11 years ago

Habarileo

Watalii waongezeka Hifadhi ya Tarangire

IDADI ya watalii wa nje na ndani wamekuwa wakiongezeka kila mwaka katika Hifadhi ya Tarangire iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara.

 

11 years ago

Habarileo

Tanapa kuongeza watalii Hifadhi za Kusini

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), limesema lina mpango wa kuongeza idadi ya watalii katika Hifadhi za Kusini na kukuza utalii wa ndani. Taarifa iliyotolewa na Idara la Mawasiliano ya Tanapa, imebainisha mkakati huo wa kuongeza watalii utahusisha ubora kupanda kwa ubora wa huduma, ikiwa ni pamoja na malazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti

Watalii bilionea 100 kutoka nchi za Ulaya na Marekani wanaotumia ndege binafsi aina ya Boeing BBJ 737 HB-11Q wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuisifia, wakisema ni moja ya urithi wa dunia unaostahili kutunzwa kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.

 

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA

 Sehemu ya wanyama aina ya Pundamilia wakila majani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadani Mnyama aina ya Mamba akiwa pembezoni mwa Mto Wami unapita kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadan akiota jua Wanyama aina ya Twiga wakijivinjari ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan kama walivyokutwa Wanyama aina ya Swala wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan wakila majani Sehemu ya watalii wakiwa kwenye gari la wazi wakifanya utalii ndani ya hifadhi hiyo kama walivyokutwa
 Mnyama aina ya Ngiri akila...

 

5 years ago

Michuzi

IDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA

 Sehemu ya wanyama aina ya Pundamilia wakila majani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadani Mnyama aina ya Mamba akiwa pembezoni mwa Mto Wami unapita kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadan akiota jua Wanyama aina ya Twiga wakijivinjari ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan kama walivyokutwa Wanyama aina ya Swala wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan wakila majani Sehemu ya watalii wakiwa kwenye gari la wazi wakifanya utalii ndani ya hifadhi hiyo kama walivyokutwa
 Mnyama aina ya Ngiri akila majani...

 

10 years ago

Michuzi

MANDHARI MWANANA YAWAVUTIA WATALII WA NDANI HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO

Afisa Masoko wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro akizungumza na watalii wa ndani kabla ya kuendelea na safari ya kutembelea vivutio mbalimbali viyoko katika uwanda wa Shira yakiwemo mapango ya Shira Caves.Watalii wa ndani wakichukua taswira mbalimbali mara baada ya kufika kilele cha Shira ndani ya Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro.

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanga wakiongozwa na meneja wao ,Innocent Silayo(wa pili toka kulia) wakishuka mara baada ya kutembelea vivutio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani