UNESCO KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA IDARA YA MAMBO YA KALE KATIKA KUBORESHA HIFADHI NA KUVUTIA WATALII NCHINI
Baadhi ya washiriki wa warsha iliyoandaliwa na UNESCO pamoja na Idara ya Mambo ya Kale wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mr Adelhelm Meru kufungua warsha hiyo iliyofanyika Coral Beach jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dr Adelhelm Meru akifungua warsha ya siku moja iliyoandaliwa na UNESCO kwa kushirikiana na Idara ya Mambo ya Kale kwaajili ya kujadili uboreshwaji wa utawala na matumizi endelevu ya hifadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mkoa wa Mbeya waiomba idara ya mambo ya kale kuwakabidhi makumbusho ya mambo ya kale ya KIMONDO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9yXkGfEiESg/XlPuEbt0W4I/AAAAAAALfIk/KpBpr3UwngIL1O5o8Kd3OsQg8VSiEH30ACLcBGAsYHQ/s72-c/2c2e9181-5a10-4564-90cc-cd9fd7f7fc01.jpg)
TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA KATIKA KUONGEZA IDADI YA WATALII NCHINI
SERIKALI za Tanzania na Finland zimekubaliana kushirikiana katika kukuza sekta ya utalii nchini pamoja na sekta zingine za kimaendeleo lengo likiwa ni kuinua uchumi wa Nchi.
Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dodoma wakati wa kikao cha pamoja kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof Adolf Mkenda na Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Biashara, Ville Skinnari.
Akizungumza baada ya mazungumzo hayo ambayo pia yalihudhuriwa na Balozi wa Finland...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Saadani: Hifadhi ya kipekee nchini iliyokosa watalii
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s72-c/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s640/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XFgZ2e0IQ_w/VV2EDMAnb6I/AAAAAAAAPtA/yLsxAmACJfA/s640/E86A7627%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZiAPhsh7Ves/VV2EC_UDxII/AAAAAAAAPs4/tHWYDSpz2_4/s640/E86A7630%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-__nNIjyhxkA/VV2EHi2ufcI/AAAAAAAAPtU/l6ja7_XzRBQ/s640/E86A7636%2B%2528800x533%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s320/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V3HOuXNYZ-k/Xl3g-HYgxKI/AAAAAAAAm6w/HLvwSlnjw6AIPSVM3hEqgUOM2ErotygHgCLcBGAsYHQ/s320/6ee185ab-6335-4805-b3ee-8ac5e51bd584.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...
10 years ago
Michuzi03 Sep
NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6nqPhNgnEU/VAb_toZEIDI/AAAAAAAAXr4/8lCHWbx5ja8/s1600/Mwamoto.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJiNXi1xSAU/VAb_ttg8iWI/AAAAAAAAXrg/fPs_Bv3MWOg/s1600/Deusidedit%2BRutazaa.jpg)
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
10 years ago
Habarileo04 Jun
Serikali kuendelea kuboresha huduma kwa wazee nchini
KUANZISHWA kwa taaluma maalumu za wazee (Geatric Care) katika Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi cha Muhimbili ni sehemu ya juhudi mbalimbali za serikali za kuboresha huduma kwa wazee.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s72-c/PIX1.jpg)
Serikali kuendelea kushirikiana na Vijana katika kutatua changamoto zao
![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s640/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNgGcB2lGiw/VlcA8SG4SkI/AAAAAAADC3E/hJqydszKEmE/s640/PIX2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
China na Tanzania kuendelea kushirikiana katika Sanaa za michoro, ikiwemo ya Tingatinga
Balozi wa China nchini Tanzania Dr. Lu Younq ing akiongea na baadhi ya wasanii wa sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi....