China na Tanzania kuendelea kushirikiana katika Sanaa za michoro, ikiwemo ya Tingatinga
Balozi wa China nchini Tanzania Dr. Lu Younq ing akiongea na baadhi ya wasanii wa sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Dec
Tanzania, China kushirikiana katika ulinzi na usalama
SERIKALI ya Tanzania na China zimesaini Hati ya Makubaliano inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano katika masuala ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao baina ya nchi hizo mbili.
9 years ago
MichuziTUZO ZA SANAA YA UCHORAJI TINGATINGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_X8BDyl3DXI/Xt9Ugo58GMI/AAAAAAALtJg/IBMHM6D4oAoH45KmgxrVKN9ybCbX1PhQACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200609-WA0002.jpg)
EDWARD SAIDI- MWANZILISHI WA SANAA YA TINGATINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_X8BDyl3DXI/Xt9Ugo58GMI/AAAAAAALtJg/IBMHM6D4oAoH45KmgxrVKN9ybCbX1PhQACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200609-WA0002.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ANAFAHAMIKA kwa jina la Edward Saidi 'Tingatinga' mchoraji wa kitanzania ambaye pia anaelezwa kuwa ni mwanzilishi wa mtindo wa uchoraji maarufu kama Tingatinga, ambao umekuwa kivutio kwa watalii na umekuwa ukifanywa katika nchi za Tanzania, Kenya na baadhi ya maeneo katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Tingatinga ni sanaa ya ufundi inayojumuisha uchoraji, upakaji rangi, ufinyanzi, uchongaji na utengenezaji wa mapambo ya asili na utamaduni.
Tingatinga ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s72-c/PIX1.jpg)
Serikali kuendelea kushirikiana na Vijana katika kutatua changamoto zao
![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s640/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNgGcB2lGiw/VlcA8SG4SkI/AAAAAAADC3E/hJqydszKEmE/s640/PIX2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tanzania, Canada kuendelea kushirikiana
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Canada ili kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya gesi asilia, madini na utalii nchini. Profesa Muhongo...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-QxRAPTVICTI/VCqwWh5QAXI/AAAAAAAGmuo/tyKVZ3zJjmE/s1600/GIZ%2B-%2B1%281%29.jpg)
TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA GIZ
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.
9 years ago
MichuziUNESCO KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA IDARA YA MAMBO YA KALE KATIKA KUBORESHA HIFADHI NA KUVUTIA WATALII NCHINI
11 years ago
Habarileo14 Feb
China, Tanzania kushirikiana usafiri wa anga
SERIKALI imesaini na China makubaliano ya mkataba wa usalama wa usafiri wa anga, ambao wataalamu wa masuala hayo wa China, watakuwa wasimamizi wakuu kwa kutoa msaada wa kiufundi nchini.