Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA

 Sehemu ya wanyama aina ya Pundamilia wakila majani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadani Mnyama aina ya Mamba akiwa pembezoni mwa Mto Wami unapita kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadan akiota jua Wanyama aina ya Twiga wakijivinjari ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan kama walivyokutwa Wanyama aina ya Swala wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan wakila majani Sehemu ya watalii wakiwa kwenye gari la wazi wakifanya utalii ndani ya hifadhi hiyo kama walivyokutwa
 Mnyama aina ya Ngiri akila majani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA

 Sehemu ya wanyama aina ya Pundamilia wakila majani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadani Mnyama aina ya Mamba akiwa pembezoni mwa Mto Wami unapita kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadan akiota jua Wanyama aina ya Twiga wakijivinjari ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan kama walivyokutwa Wanyama aina ya Swala wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan wakila majani Sehemu ya watalii wakiwa kwenye gari la wazi wakifanya utalii ndani ya hifadhi hiyo kama walivyokutwa
 Mnyama aina ya Ngiri akila...

 

11 years ago

Habarileo

Watalii waongezeka Hifadhi ya Tarangire

IDADI ya watalii wa nje na ndani wamekuwa wakiongezeka kila mwaka katika Hifadhi ya Tarangire iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara.

 

10 years ago

Michuzi

MANDHARI MWANANA YAWAVUTIA WATALII WA NDANI HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO

Afisa Masoko wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro akizungumza na watalii wa ndani kabla ya kuendelea na safari ya kutembelea vivutio mbalimbali viyoko katika uwanda wa Shira yakiwemo mapango ya Shira Caves.Watalii wa ndani wakichukua taswira mbalimbali mara baada ya kufika kilele cha Shira ndani ya Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro.

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanga wakiongozwa na meneja wao ,Innocent Silayo(wa pili toka kulia) wakishuka mara baada ya kutembelea vivutio...

 

10 years ago

Michuzi

UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.

Baadhi ya watalii wa ndani wakiwa eneo la kambi ya Tembo wakisubiri magari madogo ya hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro (KINAPA) kwa ajili ya kuwachukua kuwapeleka katika hifadhi hiyo. Magari yaliyokuwa yakitumiwa na watalii wa ndani waliokuwa wakipanda kwenda kilele cha Shira yakiwa yameegeshwa baada ya kushindwa kuendelea na safari kutokana na ubovu wa barabara.
Watalii wa ndani walilazimika kupanda magari ya aina hii ili kufika katika kilele cha Shira.
Safari ya kuelekea kilele cha Shira...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuongeza idadi ya watalii nchini

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake wa Washington DC, Marekani, imeanza mikakati ya kuongeza idadi ya watalii wanaotoka nchini humo kutoka 69,000 hadi kufikia 300,000 kwa mwaka.

 

10 years ago

Habarileo

Wajipanga kuongeza idadi ya watalii kufikia milioni 3.3

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna TarishiKATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi amesema Serikali imejipanga kuongeza idadi ya watalii wanaoingia nchini kufikia milioni 3.3 baada ya miaka mitatu .

 

11 years ago

Habarileo

Tanapa kuongeza watalii Hifadhi za Kusini

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), limesema lina mpango wa kuongeza idadi ya watalii katika Hifadhi za Kusini na kukuza utalii wa ndani. Taarifa iliyotolewa na Idara la Mawasiliano ya Tanapa, imebainisha mkakati huo wa kuongeza watalii utahusisha ubora kupanda kwa ubora wa huduma, ikiwa ni pamoja na malazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti

Watalii bilionea 100 kutoka nchi za Ulaya na Marekani wanaotumia ndege binafsi aina ya Boeing BBJ 737 HB-11Q wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuisifia, wakisema ni moja ya urithi wa dunia unaostahili kutunzwa kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Saadani: Hifadhi ya kipekee nchini iliyokosa watalii

Unapozungumzia hifadhi 16 za taifa, Mbuga ya Saadani siyo maarufu masikioni mwa Watanzania wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani