Tanapa kuongeza watalii Hifadhi za Kusini
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), limesema lina mpango wa kuongeza idadi ya watalii katika Hifadhi za Kusini na kukuza utalii wa ndani. Taarifa iliyotolewa na Idara la Mawasiliano ya Tanapa, imebainisha mkakati huo wa kuongeza watalii utahusisha ubora kupanda kwa ubora wa huduma, ikiwa ni pamoja na malazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Jul
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanapa yajenga nyumba za watalii wa ndani
11 years ago
Habarileo06 May
Watalii waongezeka Hifadhi ya Tarangire
IDADI ya watalii wa nje na ndani wamekuwa wakiongezeka kila mwaka katika Hifadhi ya Tarangire iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara.
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Serikali kuongeza idadi ya watalii nchini
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti
10 years ago
Habarileo31 Aug
Wajipanga kuongeza idadi ya watalii kufikia milioni 3.3
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi amesema Serikali imejipanga kuongeza idadi ya watalii wanaoingia nchini kufikia milioni 3.3 baada ya miaka mitatu .
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA
5 years ago
MichuziIDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Saadani: Hifadhi ya kipekee nchini iliyokosa watalii