Tanapa yajenga nyumba za watalii wa ndani
Kilio cha Watanzania kushindwa kutembelea Hifadhi za Taifa kwa kuogopa gharama kubwa kimepatiwa ufumbuzi baada ya Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), kujenga nyumba za kulala wageni katika maeneo hayo ambazo zitatoza malipo ya chini kwa watalii wa ndani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s72-c/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA YAJENGA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KISHUMUNDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s640/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXcTO2kK-mE/VXEUq1BIXSI/AAAAAAAAQb4/RYO8Yg0WQ7w/s640/E86A9286%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo31 Mar
Tanapa kuongeza watalii Hifadhi za Kusini
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), limesema lina mpango wa kuongeza idadi ya watalii katika Hifadhi za Kusini na kukuza utalii wa ndani. Taarifa iliyotolewa na Idara la Mawasiliano ya Tanapa, imebainisha mkakati huo wa kuongeza watalii utahusisha ubora kupanda kwa ubora wa huduma, ikiwa ni pamoja na malazi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Oo9uuIkcAjo/VV_12URxIOI/AAAAAAAAP54/WlO5mrU2aaY/s72-c/E86A7770%2B%2528800x533%2529.jpg)
MANDHARI MWANANA YAWAVUTIA WATALII WA NDANI HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Oo9uuIkcAjo/VV_12URxIOI/AAAAAAAAP54/WlO5mrU2aaY/s640/E86A7770%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WaYtmPuiMAw/VV_2CZVwbQI/AAAAAAAAP7I/5tAFugg5B5E/s640/E86A7835%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9ydoPD0m-js/VV_2WVuRlqI/AAAAAAAAP9U/YoPiyv5EcRQ/s640/E86A7936%2B%2528800x533%2529.jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanga wakiongozwa na meneja wao ,Innocent Silayo(wa pili toka kulia) wakishuka mara baada ya kutembelea vivutio...
11 years ago
MichuziWATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO WAFURAHIA KUFIKA SHIRA CATHEDRAL(KANISANI)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziKUNDI LA KWANZA LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO LAPANDA KILELE CHA SHIRA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo10 Jul
MAKOCHA WA ZUNGU WA SIMBA NI WATALII WA SUMMER CAMP HAPA NI NDANI YA MILIMA YA LUSHOTO
![](http://api.ning.com/files/2Za8s5sYvAIfDRLtDyQQsj6oRCR70d-ZM2O3pN2OQrWaWuEUv5waD3dzAiJIj7K98I-NYKVV1jewh6m28OaQY*zEG6jp8MbL/IMG20150707WA0150.jpg?width=650)
Wilbert Molandi na Sweetbert LukongeSIKU chache tangu Simba ilipotua Tanga kujiandaa na msimu mpya, wachezaji wa timu hiyo wamekiri kuwa mazoezi ya kocha wao mkuu, Dylan Kerr ni balaa kwa kuwa ni ya kiwango cha juu.
Simba ipo chini ya Kerr na msaidizi wake, Selemani Matola pamoja na kocha wa viungo, Mserbia, Dusan Momcilovic na kocha wa makipa, Mkenya, Abdul Idd Salim.Wakizungumza na Championi Ijumaa kwa nyakati tofauti, wachezaji wa timu hiyo walisema...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Afisa wa Intelijensia wa TANAPA Aliuawa na Mfanyakazi Wake wa Ndani
![liberatusi-sa](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/liberatusi-sa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s72-c/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s640/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XFgZ2e0IQ_w/VV2EDMAnb6I/AAAAAAAAPtA/yLsxAmACJfA/s640/E86A7627%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZiAPhsh7Ves/VV2EC_UDxII/AAAAAAAAPs4/tHWYDSpz2_4/s640/E86A7630%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-__nNIjyhxkA/VV2EHi2ufcI/AAAAAAAAPtU/l6ja7_XzRBQ/s640/E86A7636%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GlZpcsbrQw0/VVQxh9G8W4I/AAAAAAAAPhE/UPUw9RgUWu8/s72-c/E86A7429%2B(800x533).jpg)
KINAPA YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI
IDADI ya watalii wanaotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) imeongezeka kutoka 37,000 hadi kufikia 51,287 ndani ya kipindi cha miaka 10 huku asilimia 4 na sita kati yao wakiwa ni wazawa.
Asilimia hiyo inatajwa ni ya watanzania ambao wamekuwa wakipanda Mlima huo kwa muda wa siku moja hali inayoilazimu uongozi wa hifadhi hiyo kuendelea kuhamsisha wananchi kutembelea hifadhi zetu ili kujionea urithi tuliopewa na...