Upekee wa Hifadhi ya Saadani usiotangazwa
Kila hifadhi ya taifa ina upekee wake. Na hicho hukifanya kuwa kivutio kwa watalii. Hifadhi ya Taifa ya Saadani ina vivutio vya kihistoria kama vile wanyama, mito na bahari. Nadhani ni hifadhi pekee inayoweka pamoja vivutio vyote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani
NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza rasmi mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi kirefu baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
Aidha serikali imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau, kurejea mipaka ya zamani ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka mwaka 2005, baada ya serikali kuipandisha...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Saadani: Hifadhi ya kipekee nchini iliyokosa watalii
Unapozungumzia hifadhi 16 za taifa, Mbuga ya Saadani siyo maarufu masikioni mwa Watanzania wengi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WjB4zfBtxxY/XldHplmfoMI/AAAAAAALfpA/1NKlU_rR8ZsqxfpmfoYqD72nscVYBPxgwCLcBGAsYHQ/s72-c/ma.jpg)
UPEKEE WA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-WjB4zfBtxxY/XldHplmfoMI/AAAAAAALfpA/1NKlU_rR8ZsqxfpmfoYqD72nscVYBPxgwCLcBGAsYHQ/s320/ma.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anasifikia kuwa na sifa kuu 3 ambazo ni Uzalendo, Uadilifu na Uchapa kazi. Nje ya utambuzi huo Rais Magufuli amejipambanua kuwa ni Kiongozi mwenye maono, utashi wa kisiasa na uthubutu wa hali ya juu unaomfanya aweze kukwamua yaliyoshindikana na aweze kuweka historia isiyofutika kwa Taifa kwa vizazi na vizazi.
Twende pamoja utaelewa nachokisema. Suala la Serikali kuhamia Dodoma lilikuwapo tangu mwaka 1973...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s72-c/c1.jpg)
LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s640/c1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s72-c/c1.jpg)
LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s640/c1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
TASJA yataka Saadani kutunza mazingira
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Sayansi (TASJA), kimewataka wakazi wanaoishi eneo la Hifadhi ya Saadani, kuhifadhi mazingira ya Mbuga hiyo ili iweze kuendelea kuwa historia hadi katika vizazi vijavyo....
11 years ago
TheCitizen08 Jun
Tanapa, villagers in row over Saadani land compensation
A showdown is looming between residents of Uvinje village and the government as the latter is planning to evict the villagers from their lands.
11 years ago
TheCitizen11 Aug
EVICTION: Uvinje villagers resist Saadani park expansion
>It is a little, sleepy hamlet about 15-minute drive from the main village of Saadani in Bagamoyo District, Coast Region. The place is known as Uvinje.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania