NAIBU KATIBU MKUU AHOJI KUSHUKA KIWANGO CHA UFAULU SHINYANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI, Gerald Mweli akizungumza wakati wa ziara ya kikazi Mkoani Shinyanga.
NAIBU Katibu mkuu wa TAMIS Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amehoji kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa Mkoa wa Shinyanga Kitaifa kutoka nafasi ya 3 kwa mwaka 2018 hadi nafasi ya 13 kwa mwaka 2019.
Akizungumza katika ziara yake ya kikazi Mkoani humo amesema haiwezekani kwa kipindi cha mwaka mmoja Mkoa huo kuporomoka kitaaluma kwa kiwango hicho ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k4UhbOT-b98/XmykzlPWr5I/AAAAAAALjNI/V38npJYZmoYX7cVuaib5aN-VDVA_rn7agCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.10.15%2BAM.jpeg)
NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI AITAKA HALMASHAURI YA SHINYANGA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k4UhbOT-b98/XmykzlPWr5I/AAAAAAALjNI/V38npJYZmoYX7cVuaib5aN-VDVA_rn7agCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.10.15%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z6xn801Gmks/Xmykz9TkYJI/AAAAAAALjNQ/HgTuSyREKgouEImjVtLidalXhLaHjsyQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.11.38%2BAM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli ametembelea halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na kukagua eneo la...
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92 kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema kupitia BRN...
11 years ago
Habarileo06 Apr
Miundombinu, ubunifu kuinua kiwango cha ufaulu
SERIKALI imeshauriwa kuboresha na kuimarisha miundombinu yakiwemo majengo kwenye vyuo vya ualimu nchini, na kusaidia uwapo wa ubunifu ili kuinua ufaulu wa wanafunzi.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Tuache siasa, kiwango cha ufaulu kimeshuka
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ab2dRkmi7sw/Vokav_dAu0I/AAAAAAAIQEY/A7z_jd9bR0E/s72-c/d942dbb9-f79a-4bb4-92e6-1e0361d4edd3.jpg)
KIWANGO CHA UFAULU DARASA LA 7 CHAPANDA WILAYANI MUFINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ab2dRkmi7sw/Vokav_dAu0I/AAAAAAAIQEY/A7z_jd9bR0E/s640/d942dbb9-f79a-4bb4-92e6-1e0361d4edd3.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kiwango cha nauli za daladala kushuka Dar es Salaam
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s72-c/IMG-20150527-WA0013.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s640/IMG-20150527-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceZl_-FiM1w/VWXW2zZlSOI/AAAAAAAAeA8/G1BiVYu6OLc/s640/IMG-20150527-WA0020.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s72-c/IMG_3294.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI KATIKA KONGAMANO LA KIGODA CHA MWALIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s1600/IMG_3294.jpg)
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA