Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIWANGO CHA UFAULU DARASA LA 7 CHAPANDA WILAYANI MUFINDI

Zaidi ya wanafunzi 5,100 wa shule za msingi Wilayani Mufindi Mkoani Iringa, wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza baada ya kufaulu mtihani wa darasa la 07 ulifanyika mapema mwaka jana, huku ufaulu huo ukipanda na kufikia asilimia 80.39 ukilinganisha na asilimia 68.21 ya mwaka 2014. Taarifa ya kitengo cha habari na mawasiliano cha halmashauri ya wilaya ya mufindi kwa nyombo vya habari, imetanabaisha kuwa, wanafunzi waliokuwa wamesajiliwa   kufanya mtihani walikuwa 7,220 na miongoni mwao...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kiwango cha maambukizi ya Ukimwi Rukwa chapanda

VIFO vinavyotokana na Ukimwi nchini vimepungua kwa asilimia 30 kutokana na upatikanaji na matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya ugonjwa huo za ARVs.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiwango cha mshahara watumishi wa umma chapanda

WASTANI wa malipo ya mshahara kwa watumishi wa umma umeongezeka kutoka wastani wa mshahara wa sh. 74,183 mwaka 2001 hadi 562,119 mwaka 2014. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu

NA LILIAN JOEL ARUSHA
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92  kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya  mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema  kupitia BRN...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuache siasa, kiwango cha ufaulu kimeshuka

Moja ya makosa makubwa ambayo Serikali imekuwa ikiyarudia kila mwaka ni kuliangalia suala la ubora na viwango vya elimu nchini katika muktadha wa kisiasa.

 

11 years ago

Habarileo

Miundombinu, ubunifu kuinua kiwango cha ufaulu

SERIKALI imeshauriwa kuboresha na kuimarisha miundombinu yakiwemo majengo kwenye vyuo vya ualimu nchini, na kusaidia uwapo wa ubunifu ili kuinua ufaulu wa wanafunzi.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU AHOJI KUSHUKA KIWANGO CHA UFAULU SHINYANGA


Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI, Gerald Mweli akizungumza wakati wa ziara ya kikazi Mkoani Shinyanga.
NAIBU Katibu mkuu wa TAMIS Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amehoji kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa Mkoa wa Shinyanga Kitaifa kutoka nafasi ya 3 kwa mwaka 2018 hadi nafasi ya 13 kwa mwaka 2019.
Akizungumza katika ziara yake ya kikazi Mkoani humo amesema haiwezekani kwa kipindi cha mwaka mmoja Mkoa huo kuporomoka kitaaluma kwa kiwango hicho ...

 

11 years ago

Habarileo

Kiwango maisha bora chapanda

Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi chapisho la tatu la taarifa za msingi za kidemografia, kijamii na kiuchumi pamoja na tovuti katika kupata taarifa za Sensa na Makazi katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, mwakilishi wa UNFPA, Mariam Khan, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum na Kamishna wa Sensa na Makazi, Amina Mrisho. (Picha na Freddy Maro).MAENDELEO ya Watanzania na kuongezeka kwa ubora wa maisha yao sasa ni dhahiri baada ya chapisho la tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na Kiuchumi, linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, kuonesha hatua walizopiga katika maisha yao.

 

11 years ago

Habarileo

Arusha wapaisha ufaulu darasa la 7

MKOA wa Arusha umeongeza wastani wa ufaulu kutoka alama 93.62 mwaka jana hadi kufikia alama 104.86 mwaka huu licha ya kuwa na sifa ya kutokuwepo kwa udanganyifu kabla na wakati wa ufanyikaji wa mitihani ya darasa la saba.

 

10 years ago

Habarileo

Pwani yaongeza ufaulu darasa la saba

Kibaha katibu tawala wa mkoa wa Pwani, Mgeni Baruani MKOA wa Pwani umeongeza ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba ambapo jumla wanafunzi 13,242 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwenye shule mbalimbali za sekondari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani