Tuache siasa, kiwango cha ufaulu kimeshuka
Moja ya makosa makubwa ambayo Serikali imekuwa ikiyarudia kila mwaka ni kuliangalia suala la ubora na viwango vya elimu nchini katika muktadha wa kisiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/NGASSA-MRISHO.jpg)
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu
NA LILIAN JOEL ARUSHA
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92 kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema kupitia BRN...
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92 kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema kupitia BRN...
11 years ago
Habarileo06 Apr
Miundombinu, ubunifu kuinua kiwango cha ufaulu
SERIKALI imeshauriwa kuboresha na kuimarisha miundombinu yakiwemo majengo kwenye vyuo vya ualimu nchini, na kusaidia uwapo wa ubunifu ili kuinua ufaulu wa wanafunzi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ab2dRkmi7sw/Vokav_dAu0I/AAAAAAAIQEY/A7z_jd9bR0E/s72-c/d942dbb9-f79a-4bb4-92e6-1e0361d4edd3.jpg)
KIWANGO CHA UFAULU DARASA LA 7 CHAPANDA WILAYANI MUFINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ab2dRkmi7sw/Vokav_dAu0I/AAAAAAAIQEY/A7z_jd9bR0E/s640/d942dbb9-f79a-4bb4-92e6-1e0361d4edd3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
NAIBU KATIBU MKUU AHOJI KUSHUKA KIWANGO CHA UFAULU SHINYANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qj3uI9uUoiM/XmY7yabffEI/AAAAAAALiOY/FXG1eupYxOAo-rY2McDe0tAF-f3RG4MMwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.04%2BAM.jpeg)
NAIBU Katibu mkuu wa TAMIS Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amehoji kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa Mkoa wa Shinyanga Kitaifa kutoka nafasi ya 3 kwa mwaka 2018 hadi nafasi ya 13 kwa mwaka 2019.
Akizungumza katika ziara yake ya kikazi Mkoani humo amesema haiwezekani kwa kipindi cha mwaka mmoja Mkoa huo kuporomoka kitaaluma kwa kiwango hicho ...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s72-c/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
RFB yafanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s400/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini(RFB) imefanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa Serikali ya awamu ya nne wa Mhe. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Jana Bw. Joseph Haule amesema kuwa matengenezo hayo yamefanikisha ujenzi wa barabara kuu zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini kukamilika kwa asilimia 89 huku zile za Wilaya na Miji kwa asilimia 57.
“ kazi...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
WHO yapunguza kiwango cha sukari
Shirika la Afya duniani WHO limepunguza kwa nusu kiwango cha sukari inayotumiwa na binadamu ili kukabiliana na tatizo la kunenepa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania