MSD wafungua duka la dawa Muhimbili
Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD) imetekeleza agizo la Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue kwa kufungua duka la dawa za binadamu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMSD YAKARABATI JENGO LA DUKA LA DAWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA KASI KUBWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS DK.MAGUFULI
Na Dotto Mwaibale
BOHARI ya Dawa (MSD) imejiimarisha na kuhahikisha inatekeleza kwa wakati agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuweka maduka ya dawa katika hospitali za rufaa na kanda nchini.
Katika kutekeleza agizo hilo MSD imeanza kwa kasi kubwa ya kukarabati jengo la duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambalo linatarajiwa kufunguliwa kesho.
Mwandishi wa habari hii alishuhudia jana kasi kubwa ya mafundi ujenzi wakikarabati jengo hilo ambalo awali lilikuwa...
BOHARI ya Dawa (MSD) imejiimarisha na kuhahikisha inatekeleza kwa wakati agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuweka maduka ya dawa katika hospitali za rufaa na kanda nchini.
Katika kutekeleza agizo hilo MSD imeanza kwa kasi kubwa ya kukarabati jengo la duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambalo linatarajiwa kufunguliwa kesho.
Mwandishi wa habari hii alishuhudia jana kasi kubwa ya mafundi ujenzi wakikarabati jengo hilo ambalo awali lilikuwa...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Duka la dawa Muhimbili lazinduliwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando amezindua duka la dawa la Bohari Kuu ya Dawa (MSD) lililofunguliwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kutekeleza agizo la Rais John Magufuli.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tigo wafungua duka huduma kwa wateja
Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo imefungua maduka 50 nchini ili kurahishisha upatikanaji huduma kwa wateja wake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ld1-OWeqWYU/Xqa0CNkr0CI/AAAAAAALoUU/PWyN-g6l4VsLNErdy8lXPAWlZO2l4uazgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200423-WA0034.jpg)
DUKA LA DAWA HOSPITALI YA BAGAMOYO LASAIDIA UPATIKANAJI WA DAWA KIRAHISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ld1-OWeqWYU/Xqa0CNkr0CI/AAAAAAALoUU/PWyN-g6l4VsLNErdy8lXPAWlZO2l4uazgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200423-WA0034.jpg)
Duka hilo lililoanzishwa kwa mtaji wa sh.milioni 4, walianza kununua dawa muhimu na za lazima kwa wateja wa Bima.
Hayo yalielezwa na Mganga Mkuu wa wilaya (DMO) Dk. Aziz Msuya mbele ya viongozi wa halmashauri ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s72-c/DSC_9936.jpg)
MSD yatoa utaratibu wa manunuzi ya dawa ndani ya bohari ya dawa
![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s1600/DSC_9936.jpg)
9 years ago
MichuziMSD kuweka nembo za Serikali kwenye dawa zake, wizi wa dawa kudhibitiwa
Katika kulitekeleza hilo, Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD),Cosmas Mwaifwani aliagizwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Donan Mmbando kwa niaba ya Rais, kuhakikisha kuwa dawa zote za Serikali zinakuwa na utambulisho...
11 years ago
MichuziPOLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwjUyaEScrY/Ux2DlBq6VaI/AAAAAAAA0Rg/qUnegDdlwak/s1600/01.MSD5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fz6RzY9NaXk/U3nQGN-KzQI/AAAAAAAFjo0/wtpo_gDsCqY/s72-c/MMGN7346.jpg)
DUKA LA DAWA ZA ASILI LILALOTEMBEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fz6RzY9NaXk/U3nQGN-KzQI/AAAAAAAFjo0/wtpo_gDsCqY/s1600/MMGN7346.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Nov
MSD yaanza kusambaza dawa
>Bohari Kuu ya Dawa (MSD) imeanza kusambaza dawa katika hospitali mbalimbali nchini, baada ya kupokea kiasi cha Sh20 bilioni ambazo ni sehemu ya malipo ya deni linaloidai Serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania