Julio atoa ruksa wachezaji kula bata
Kocha Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.
Martha Mboma, Dar es Salaam
BAADA ya ligi kusimama kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi, Kocha Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amefunguka kuwa kwa sasa ni ruksa wachezaji wake kwenda mapumziko.
Mwadui ambayo inashika nafasi ya tano ikiwa na pointi 22 nyuma ya Simba ambao wana alama 24, ikiwa ni msimu wake wa kwanza baada ya kushuka miaka kadhaa iliyopita mchezo wake wa mwisho ilitoka sare ya bao 1-1 na vijana hao wa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Jerome kula bata jukwaani Yanga
Na Nicodemus Jonas
KIUNGO Jerome Sina anayefanya majaribio Yanga, ataendelea kubaki katika klabu hiyo pengine hadi katika usajili wa Juni mwakani ndipo jina lake liidhinishwe acheze Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Awali Yanga ilimpokea Sina kwa majaribio huku ikipiga hesabu za kumsajili kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika lakini timu hiyo haikulijumuisha jina lake kwenda Caf.
Badala yake klabu hiyo imepeleka majina ya nyota wake saba wa kigeni na wengine wazawa ili wacheze michuano hiyo...
10 years ago
GPLBAADA YA KULA BATA NA BENZEMA RIHANNA AREJEA NYUMBANI!
11 years ago
Bongo521 Oct
Unataka kula bata na Akon jijini New York? Soma hapa
11 years ago
Bongo520 Aug
Picha: Belle 9 aenda Ujerumani kula bata na warembo wa kizungu
10 years ago
Vijimambo
DALLAS WE ACHA TU NI KULA BATA MPAKA KUKU WANAONA WIVU



9 years ago
Michuzi
WACHEZAJI WAPYA WENYE ITC RUKSA KUTUMIKA

TFF itatoa leseni ya usajili wa mchezaji ambaye amethibitishwa kupitia mtandao wa TMS baada ya kuwepo nyaraka zote; mkataba uliomalizika, barua ya kuvunja mkataba, barua ya kuachwa (release letter), mkataba mpya na uthibitisho wa...
9 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Cassper Nyovest aendelea kula bata Zanzibar na mpenzi wake Boity, aitosa show ya Maftown Heights

Rapper anayezungumzwa zaidi nchini Afrika Kusini kwa sasa, Cassper Nyovest anaendelea kujipongeza na kufurahia mafanikio baada ya show yake ya #FillUpTheDome kwa vacation ndefu visiwani Zanzibar.
Rapper huyo na mpenzi wake Boity, bado wameendelea kufurahia mandhari za kuvutia za bahari ya Hindi visiwani humo kwenye hoteli za kitalii.
Kurasa zao za Instagram zinaonesha jinsi wanavyofurahia kwenye kisiwa hicho ikiwa ni pamoja na kula vyakula maarufu vya baharini.
Katika hatua nyingine,...
10 years ago
GPL
MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!
10 years ago
Bongo515 Dec
Video/Picha: Davido na Wizkid wakutana uso kwa uso na kula bata pamoja