Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagonjwa wa malaria wapimwa kwa macho

Ukosefu wa vifaa tiba katika baadhi ya zahanati na vituo vya afya vya Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, umewalazimu wauguzi wa vituo hivyo kuwatibu wagonjwa wa malaria kwa kutumia uzoefu wa kuwaangalia.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika zahanati ya Mtepeche kata ya Kilimani Hewa, tarafa ya Nambambo na zahanati ya Kihuwe kata ya Naipingo, tarafa ya Naipanga wilaya ya Nachingwea, umebaini kuwepo kwa tatizo hilo.

Waganga wa zahanati hizo, walisema kukosekana kwa vipimo vya kupimia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza

Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.

Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.

mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mzizima Lions Club kuhudumia wagonjwa wa macho zaidi ya 150 mkoani SINGIDA

DSC01108

Mratibu wa Mzizima Lions Club ya jijini Dar-es-salaam, Mustafa Kudrati, akifafanua jambo kwa waandishi wa hababari (hawapo kwenye picha) juu ya kampeni yao ya upimaji,tiba na upasuaji wa macho kwenye kampeni yao ya siku mbili mkoani hapa, inayotarajiwa kunufaisha wakazi zaidi ya 150. Kwa mujibu wa Kudrati,kampeni hiyo inayodhaminiwa na shirika la ndege la Ethiopia na kampuni ya  bima ya AAR, itagharimu zaidi ya shilingi 20 milioni.

DSC01105

Daktari bingwa wa macho mkoani Singida, Dk.Ng’hungu...

 

10 years ago

GPL

CHEKA, MTHAILAND WAPIMWA UZITO

Promota wa pambano hilo, Kaike Siraju (katikati) akiwatambulisha mabondia hao mbele ya waandishi (hawapo pichani). Bondia Cheka akipima uzito. Mthailand, Kitschai Singwancha akipima uzito.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One

novartis

-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria

-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia

-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001

Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...

 

9 years ago

Michuzi

WATOTO YATIMA WA KITUO CHA VALENTINE CHILDREN HOME WAPIMWA AFYA ZAO

Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili   mpima mtoto Nuru Edward wa kituo cha kulea watoto yatima cha Valentine children home kilichopo yombo buza kulia ni mtoto Clara Olimpia nae akihudumiwa na nesi Mary Hongoli.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

5 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU WAPATAO 51 WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI,WAPIMWA CORONA

NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata Wahamiaji haramu 51 walioingia nchini kupitia bandari bubu ya ya Makurunge Tarafa ya Yombo Wilayani Bagamoyo Mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani  Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa  majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria  waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Changa la macho’ hadi kwa wachezaji!

Nakumbukuka sehemu ya hotuba moja ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema kuna zuzu kauziwa almasi feki halafu anaondoka, alikuwa na almasi akadanganywa akaambiwa, almasi siyo hii, almasi ni hii. Kumbe ni chupa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani