BONDIA SAID MBELWA AMCHIMBIA MKWALA GEORGE DIMOSO MPAMBANO WA OCTOBER 25 FRIENDS CORNER MANZESE
BONDIA Said Mbelwa mwenye rekodi ya kushinda 27,kupigwa16 na drawn 4 ambapo ana jumla ya mapambano 48 aliyocheza ameapa kumchakaza mpinzani wake george Dimoso mwenye rekodi ya kushinda mapambano 11kupigwa ,10 , drawn 2 na jumla ya michezo aliocheza ni 23
siku ya October 25 katika ukumbi wa friends Corner manzese jijini Dar es salaam
akizungumzia mpambano huo Mbelwa ambaye alikuwa kimya kidogo mda mrefu kutokana na kufungiwa baada ya kumpiga bondia Kalama Nyilawila kwa kupiga mateke...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Oct
BONDIA SAIDI MBELWA APIGA GEORGE DIMOSO KWA POINT
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s72-c/unnamed+(13).jpg)
JULIAS KISARAWE KUMVAA MOROBEST LEO FRIENDS CORNER MANZESE
![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JmZptuyJAfE/VDm1YJPvdLI/AAAAAAAGpbI/yBocRmJPYUs/s72-c/SUPER%2BD%2BTANGAZOLL.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...
10 years ago
Vijimambo25 Oct
NGUMI KUPIGWA KESHO OKTOBER 25 FRENDS CORNER MANZESE
11 years ago
Michuzi13 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s72-c/coastal.jpg)
Coastal Union kukipiga na Friends Corner kesho Iddi Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s320/coastal.jpg)
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni muendelezo wa mechi za kujipima nguvu kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho kwa ajili ya mashindano ya Ligi kuu yajayo.
Maandalizi ya kuelekea mechi hiyo yamekamilika kwa asilimia kubwa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
SAID MBELWA: Bondia anayetumikia kifungo kwa kinyongo
SAID Mbelwa si jina geni masikioni hata machoni mwa wapenzi na mashabiki wa masumbwi nchini. Hii inatokana na kuwa miongoni mwa mabondia mahiri kwa sasa ambao uwezo wao, umekuwa ndio...
10 years ago
Vijimambo10 Jul