Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGUMI KUPIGWA KESHO OKTOBER 25 FRENDS CORNER MANZESE

Bondia Ally Bugingo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Amani Bariki 'Manny Chuga' mpambano utakaofanyika Oktoba 25 katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es salaam katikati ni Antony Rutta Bondia Sadiki Nuru akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho jumamosiBondia Said Mbelwa akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika kesho oktoba 25 katika ukumbi wa frends corner manzese ambapo anapambana na George Dimoso mpambano wa raundi nane.Bondia Fadhili Boika kushoto...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!

super d boxing promotion

 

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Mabondia  Selemani Galile ‘Selemani Toll’  na  Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika  January 2/2016  ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.

Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu  nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie

Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano  huo, Rajabu...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA JUMAPILI MANZESE UKUMBA WA MANYARA

Na Mwandishi Wetu
BONDIA Samsoni Maisha wa kyela amewasili jijini Dar es salaam kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa TPBO na Ibrahimu Tamba mpambano utakaofanyika novemba 9 mwaka huu katika ukumbi wa Manyara Park Manzese Dar es salaa

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUAR MOSI 2015 FRENDS CORNER

Bondia Thomasi Mashali kushoto akitia saini ya kupigana na Abbdallah Pazi kulia baada ya makubaliano na promota Kassim Texas katikati mpambano utakaofanyika january mosi katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Bondia Abbdallah Pazi kulia akitia saini ya kupigana na Thomasi Mashalikushoto baada ya makubaliano na promota Kassim Texas katikati mpambano utakaofanyika january mosi katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaamBondia Thomasi Mashali kushoto akitunishiana misuli...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MANYARA PARCK CCM TANDALE JUMAMOSI MARCH 28

Bondia Yusuph Mkali kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumamosi ya march 28 katika ukumbi wa manyara parck uliopo tandale ccm Chirstopher Mzazi katikaki akiwainua juu mabondia Julius Kisalawe kushoto na Said Uwezo kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumamosi ya march 28 utakaofanyika katika ukumbi wa manyara parck ccm tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisalawe kutoka Ndame Clab...

 

11 years ago

Michuzi

JULIAS KISARAWE KUMVAA MOROBEST LEO FRIENDS CORNER MANZESE

Bondia Julius Kisarawe (kushoto) leo jioni anategemea kupanda ulingoni kuzipiga na Hassan Kiwale "Morobest" (kulia) katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam katika pambano la raundi nane. Muandaaji wa mpambano huo Sempai Gola na ofisa wa ngumi za kulipwa nchini Pembe Ndava walisema maandalizi yote yapo kamili, na mabondia wapo katika hali nzuri ukiondoa kasoro ndogo iliojitokeza kwa Morobest aliyekuwa acheze na Fadhili Majia na sasa atacheza na Julias Thomas Kisarawe...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA SAID MBELWA AMCHIMBIA MKWALA GEORGE DIMOSO MPAMBANO WA OCTOBER 25 FRIENDS CORNER MANZESE


BONDIA Said Mbelwa mwenye rekodi ya kushinda 27,kupigwa16 na drawn 4 ambapo ana jumla ya mapambano 48 aliyocheza ameapa kumchakaza mpinzani wake george Dimoso mwenye rekodi ya kushinda mapambano 11kupigwa ,10 , drawn 2 na jumla ya michezo aliocheza ni 23

siku ya October 25 katika ukumbi wa friends Corner manzese jijini Dar es salaam

akizungumzia mpambano huo Mbelwa ambaye alikuwa kimya kidogo mda mrefu kutokana na kufungiwa baada ya kumpiga bondia Kalama Nyilawila kwa kupiga mateke...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE MASHALI, KAONEKA WASHINDA KWA K,O

Bondia Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ramadhan Alfani wakati wa mpambano wao Kaoneka alishinda kwa K,O ya Raundi ya kwanza Shabani Kaoneka akinuliwa kuwa mshindiBondia Fred Sayuni kushoto akipambana na Mbayo Ilunga wakati wa mchezo wao uliofanyika katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaam Sayuni alishinda kwa K,O raundi ya piliBondia Henry Wandela kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Thomas Mashali wakati wa mpambano wao Mashali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani