NGUMI KUPIGWA KESHO OKTOBER 25 FRENDS CORNER MANZESE
Bondia Ally Bugingo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Amani Bariki 'Manny Chuga' mpambano utakaofanyika Oktoba 25 katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es salaam katikati ni Antony Rutta
Bondia Sadiki Nuru akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho jumamosi
Bondia Said Mbelwa akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika kesho oktoba 25 katika ukumbi wa frends corner manzese ambapo anapambana na George Dimoso mpambano wa raundi nane.
Bondia Fadhili Boika kushoto...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JmZptuyJAfE/VDm1YJPvdLI/AAAAAAAGpbI/yBocRmJPYUs/s72-c/SUPER%2BD%2BTANGAZOLL.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...
10 years ago
Vijimambo10 Jul
10 years ago
Vijimambo06 Nov
NGUMI KUPIGWA JUMAPILI MANZESE UKUMBA WA MANYARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KmR6rscr-wc/VEAmYBXNngI/AAAAAAAAGeg/Azf7n-Bfwl0/s1600/NDAME.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUAR MOSI 2015 FRENDS CORNER
10 years ago
VijimamboNGUMI KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MANYARA PARCK CCM TANDALE JUMAMOSI MARCH 28
Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisalawe kutoka Ndame Clab...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s72-c/unnamed+(13).jpg)
JULIAS KISARAWE KUMVAA MOROBEST LEO FRIENDS CORNER MANZESE
![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Oct
BONDIA SAID MBELWA AMCHIMBIA MKWALA GEORGE DIMOSO MPAMBANO WA OCTOBER 25 FRIENDS CORNER MANZESE
![](https://3.bp.blogspot.com/-DLn79XKpNQ8/VDYmp9YtO6I/AAAAAAAAGak/WHZUKKKoRmo/s1600/SUPER%2BD%2BTANGAZO%2Bcopy.jpg)
BONDIA Said Mbelwa mwenye rekodi ya kushinda 27,kupigwa16 na drawn 4 ambapo ana jumla ya mapambano 48 aliyocheza ameapa kumchakaza mpinzani wake george Dimoso mwenye rekodi ya kushinda mapambano 11kupigwa ,10 , drawn 2 na jumla ya michezo aliocheza ni 23
siku ya October 25 katika ukumbi wa friends Corner manzese jijini Dar es salaam
akizungumzia mpambano huo Mbelwa ambaye alikuwa kimya kidogo mda mrefu kutokana na kufungiwa baada ya kumpiga bondia Kalama Nyilawila kwa kupiga mateke...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE MASHALI, KAONEKA WASHINDA KWA K,O