NGUMI KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MANYARA PARCK CCM TANDALE JUMAMOSI MARCH 28
Bondia Yusuph Mkali kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumamosi ya march 28 katika ukumbi wa manyara parck uliopo tandale ccm
Chirstopher Mzazi katikaki akiwainua juu mabondia Julius Kisalawe kushoto na Said Uwezo kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumamosi ya march 28 utakaofanyika katika ukumbi wa manyara parck ccm tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisalawe kutoka Ndame Clab...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Feb
NGUMI KUPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
![](https://4.bp.blogspot.com/-3sK3dpj2IZM/VMM64uSiZ3I/AAAAAAAAG4I/fyLpvOZl_uU/s400/2.jpg)
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe'
ametamba kumsambalatisha Fadhili Majiha 'Stopper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
NGUMI KUPIGWA JUMAPILI MANZESE UKUMBA WA MANYARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KmR6rscr-wc/VEAmYBXNngI/AAAAAAAAGeg/Azf7n-Bfwl0/s1600/NDAME.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM KESHO JUMAMOSI DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria
![](http://www.dailynews.co.tz/images/MAKONDAUVCCM.jpg)
Mh Paul Makonda Katibu Hamasa na...
10 years ago
Vijimambo25 Oct
NGUMI KUPIGWA KESHO OKTOBER 25 FRENDS CORNER MANZESE
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Taifa Cup kwa wabawake kupigwa Jumamosi
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV JUMAMOSI MARCH 28, 2015
Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwafundisha kiswahili watoto wa wazazi wa Tanzania wanajifunza kuzungumuza ikiwemo kusoma na kuandika lugha ya kiswahili katika Darasa la kiswahili linaloendelea kila siku ya Jumamosi kuanzia saa 9 alasiri mpaka saa 12 jioni Silver Spring, Maryland na darasa likiwa chini ya Jumuiya ya Watanzania DMV.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s72-c/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO JUMAMOSI 21 MARCH 2015
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City
![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s1600/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Q0Pa4RyHSes/VMg9InMGcCI/AAAAAAAAH1Q/sP_NxrcZI2U/s72-c/Darasa%2Bla%2Bkiswahili%2BDMV.jpg)
Darasa la Kiswahili DMV. Jumamosi hii na kila jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q0Pa4RyHSes/VMg9InMGcCI/AAAAAAAAH1Q/sP_NxrcZI2U/s640/Darasa%2Bla%2Bkiswahili%2BDMV.jpg)
Sasa linafanyika kila Jumamosi kuanzia saa 9 kamili alasiri mpaka saa 11 kamili jioni
Anwani ni...
1700 April Lane,
Silver Spring, MD 20904
KARIBUNI NYOTE