Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGUMI KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MANYARA PARCK CCM TANDALE JUMAMOSI MARCH 28

Bondia Yusuph Mkali kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumamosi ya march 28 katika ukumbi wa manyara parck uliopo tandale ccm Chirstopher Mzazi katikaki akiwainua juu mabondia Julius Kisalawe kushoto na Said Uwezo kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumamosi ya march 28 utakaofanyika katika ukumbi wa manyara parck ccm tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisalawe kutoka Ndame Clab...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NGUMI KUPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI


BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' 

ametamba kumsambalatisha Fadhili Majiha 'Stopper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali

akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA JUMAPILI MANZESE UKUMBA WA MANYARA

Na Mwandishi Wetu
BONDIA Samsoni Maisha wa kyela amewasili jijini Dar es salaam kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa TPBO na Ibrahimu Tamba mpambano utakaofanyika novemba 9 mwaka huu katika ukumbi wa Manyara Park Manzese Dar es salaa

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM KESHO JUMAMOSI DMV


Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na  Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria
Mh Paul Makonda Katibu Hamasa na...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA KESHO OKTOBER 25 FRENDS CORNER MANZESE

Bondia Ally Bugingo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Amani Bariki 'Manny Chuga' mpambano utakaofanyika Oktoba 25 katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es salaam katikati ni Antony Rutta Bondia Sadiki Nuru akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho jumamosiBondia Said Mbelwa akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika kesho oktoba 25 katika ukumbi wa frends corner manzese ambapo anapambana na George Dimoso mpambano wa raundi nane.Bondia Fadhili Boika kushoto...

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa Cup kwa wabawake kupigwa Jumamosi

Michuano ya Taifa Cup kwa Wanawake kupigwa Jumamosi nchini Tanzania

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV JUMAMOSI MARCH 28, 2015


Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwafundisha kiswahili watoto wa wazazi wa Tanzania wanajifunza kuzungumuza ikiwemo kusoma na kuandika lugha ya kiswahili katika Darasa la kiswahili linaloendelea kila siku ya Jumamosi kuanzia saa 9 alasiri mpaka saa 12 jioni Silver Spring, Maryland na darasa likiwa chini ya Jumuiya ya Watanzania DMV. Watoto wa wazazi wa Kitanzania wakifuatilia somo la Kiswahili. Wanafunzi wa darasa la Kiswahili wakiwa darasani. Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwapa somo la lugha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO JUMAMOSI 21 MARCH 2015

KIONGOZI WA EXTRA BONGO BAND ALLY CHOKI KULITINGISHA JIJI LA TOKYO!WHITE PARTY
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara CityTokyo,Japan.
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...

 

10 years ago

Vijimambo

Darasa la Kiswahili DMV. Jumamosi hii na kila jumamosi

Darasa la Kiswahili hapa Washington DC na vitongoji vyake linaratibiwa na Jumuiya ya waTanzania ya hapa DMV
Sasa linafanyika kila Jumamosi kuanzia saa 9 kamili alasiri mpaka saa 11 kamili jioni
Anwani ni...
1700 April Lane,
 Silver Spring, MD 20904
KARIBUNI NYOTE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani