WAKANDARASI WAASWA KULINDA AFYA ZA WAFANYAKAZI MAHALA PA KAZI-OSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4ygZaTC6za8/VTkB_ea2SLI/AAAAAAAHSy4/8hlaDJ1hKec/s72-c/IMG_3483.jpg)
Mkuu wa kitengo cha sheria wa Wakala wa usalama na afya mahali pa kazi(OSHA),Joyce Mwalubungu, akizungumza na wakandalasi waliohudhuria kwenye warsha iliyoandaliwa na Wakala wa Usalama na Afya mahala pa kazi (OSHA) iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mshauri mkuu wa ufundi wa ujasiliamali na miradi kwa vijana Jelous Chirove akizungumza na wakandarasi waliohudhuria kwenye warsha iliyoandaliwa na wakala wa Usalama na Afya mahala pa kazi (OSHA) iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 May
Baraza la wakala wa Usalama na Afya mahala pakazi (OSHA) lazinduliwa
Naibu Waziri wa kazi na ajira Dr. Makongoro Mahanga, akiwa anakaribishwa na Henry Mpande ambaye ni Mwenyekiti wa Hoteli ya Kitalii ya Millennium iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya Hindi mjini Bagamoyo Mkoa wa Pwani ambapo mkutano wa baraza la wakala wa usalama na afya katika mahala pakazi OSHA ulipofanyikia.
Naibu Waziri wa kazi na ajira Dr. Makongoro Mahanga, akibadilishana mawazo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa usalama na afya mahala pa kazi OSHA Dr. Akwilina Kayumba baada ya kuzindua...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-A79QK5sOhEc/U2HscvYLp2I/AAAAAAAFeRg/Sqp2Wj08cNc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
BARAZA LA WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALA PAKAZI (OSHA) LA ZINDULIWA MJINI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-A79QK5sOhEc/U2HscvYLp2I/AAAAAAAFeRg/Sqp2Wj08cNc/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L4pV8TYx6CU/U2Hsdvsrl9I/AAAAAAAFeRo/eVDIii1mWI8/s1600/unnamed+(6).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3E588TCfOCs/U14UOaZAhdI/AAAAAAAFdpw/eIwrTJFKTK8/s72-c/003.jpg)
Wanafunzi wapatiwa mafunzo ya usalama na Afya mahala pa kazi na barabarani
![](http://2.bp.blogspot.com/-3E588TCfOCs/U14UOaZAhdI/AAAAAAAFdpw/eIwrTJFKTK8/s1600/003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvrEpFZ4H3Y/U14UPotl9bI/AAAAAAAFdqA/8pSFTRfh1M0/s1600/004.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bi3RkeRVQ5T9PHclK34M52md21zDmt1t8-vtT8ZNzFQSYOA8Q7X8RmxwsJAJ6KkFTOn4l25hmLrb2fOrRn0l8s/1.jpg?width=650)
WANAFUNZI WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI NA BARABARANI
10 years ago
MichuziSSRA yashiriki maonesho ya Siku ya Usalama na Afya mahala pa kazi, mjini Dodoma
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wafanyakazi ‘Katiba na Sheria’ waaswa kuchapa kazi
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) Mkoa wa Dar-es-salaam Bw. Hassan Kaumo akiongea na wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Aprili 30, 2014). Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw. Fanuel Mbonde. (Picha na Martha Komba – Wizara ya Katiba na Sheria).
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aaziFeeLz-o/XmYIwIBht5I/AAAAAAALiKY/_dVfERW1yCwFkTVhdLqLfbBhNWOPZLk4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OSHA, ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aaziFeeLz-o/XmYIwIBht5I/AAAAAAALiKY/_dVfERW1yCwFkTVhdLqLfbBhNWOPZLk4QCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Hayo yamesemwa Jijini Arusha wakati wa ukifunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA),...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
5 years ago
MichuziOSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI
Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...