Bodi MHCS Ltd yajizatiti kujenga majengo pacha Afrika Sana, Dar
Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Ujenzi wa Nyumba Mwenge (MHCS Ltd), Hillaly Mdaki akizungumza wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo, uliofanyika Afrika Sana Mwenge jijini Dar es Salaam.Kulia ni makamu mwenyekiti wa bodi hiyo, Hellena Khamsini.
Mjumbe mmojawapo wa bodi ya hiyo, Ndesumbuka Merinyo akisaini hati ya kiapo cha kuitumikia nafasi hiyo katika hafla iliyofanyika Sinza, Afrika Sana jana.
Bodi Mpya ya Wakurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Ujenzi wa Nyumba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Rais Kikwete azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF Towers mtaa wa Sokoine Jijini Dar



10 years ago
Michuzi
JK azindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo



10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE AZINDUA MAJENGO PACHA YA GHOROFA 35 YA PSPF TOWERS MTAA WA SOKOINE JIJINI DAR ES SALAAM



10 years ago
Habarileo16 Jan
Bodi kuhifadhi majengo ya kale
BODI ya Usajili Wabunifu Majengo na Ukadiriaji Majenzi, imeandaa mikakati ya kuona namna ya kuhifadhi majengo ya kale kulinda historia.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodi ya wabunifu majengo yapewa changamoto
NAIBU Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Kaniki, ameipa changamoto bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuhakikisha majengo yanayojengwa nchini yanakuwa bora na salama kwa makazi ya watu na kuepusha majanga ya majengo kuporomoka kama ilivyowahi kutokea.
11 years ago
Habarileo31 May
Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi
MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.
10 years ago
Michuzi
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango

WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
11 years ago
GPLWANANCHI WAGOMA KULIPA USHURU KWASABABU YA CHEMBA YA MAJI TAKA – AFRIKA SANA DAR
10 years ago
GPLBODI YA USAJILI WA MAJENGO NA UKADIRIAJI UJENZI YATAKA WATAALAM WATUMIKE IPASAVYO