Mafisadi wateketeza fedha za mradi Korogwe
Idara ya Kilimo ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe imeingia katika kashfa ya ufisadi baada ya kufichuliwa kwa ubadhirifu wa zaidi ya Sh45 milioni zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza mradi wa umwagiliaji wa mpunga uliopo Kaloleni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zEyhmkbPHaM/XmoZdBFg3CI/AAAAAAAEGOw/7-sg5JHvBIsTG_kF4sbZ39bDRlW541umQCLcBGAsYHQ/s72-c/jj.jpg)
MRADI WA UMEME JUA UNAVYOWAKOMBOA WAKAZI WA KIJIJI CHA MPALE WILAYANI KOROGWE
Wakizungumza na Michuzi Blog,wakazi hao wamesema awali iliwalazimu kutumia mafuta ya taa ambayo yaligharimu shilingi kwa siku, hali ambayo imekuwa ikiwarudisha nyuma kimaendeleo.
Aidha wamesema licha ya nishati hiyo kuwapunguzia gharama za maisha pia imekuwa chachu ya wao kujikwamua kiuchumi kama ilivyo kwa mzee...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.
PICHA ZAIDI...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vxBfHpZvjMg/XmI09SQ-DzI/AAAAAAALhew/TxQkiCvbdQgtH_RJaBNnQsXoZXJKOBNowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAJALIWA AFUNGUA MAKTABA YA CHUO CHA UALIMU KOROGWE, AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA KOROGWE
Aliyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Machi 5, 2020) wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa TTC Korogwe akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu alisema uaminifu na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Matumizi fedha za mradi yamfurahisha waziri
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amefurahishwa na matumizi mazuri ya fedha za mradi wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu unaolenga kuboresha sayansi na teknojia...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
‘Ukimwi siyo mradi wa kujivunia fedha’
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mbunge ataka fedha za mradi Kwimba
MBUNGE wa Kwimba, Shanif Mansoor (CCM), ameeleza kusikitishwa na kusimama kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji Kata ya Mwang’halanga wilayani hapa, na kuitaka serikali ipeleke...
10 years ago
Dewji Blog14 May
Mradi wa Maboresho Matumizi ya Fedha za Umma Wafanikiwa
Msemaji wa Wizara ya Fedha, Bi. Ingiahedi Mduma (wa kwanza kulia) akitoa ufafanuzi kwa wanahabari wanaoshiriki semina juu ya taarifa ya Mradi wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) mjini Kibaha. (Picha na Thehabari.com)
MRADI wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) umefanikiwa kuboresha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma hasa katika eneo la ukaguzi wa fedha katika taasisi na idara mbalimbali za Serikali. Kauli hiyo imetolewa jana Mjini Kibaha na Msemaji wa Wizara ya...