Mradi wa Maboresho Matumizi ya Fedha za Umma Wafanikiwa
Msemaji wa Wizara ya Fedha, Bi. Ingiahedi Mduma (wa kwanza kulia) akitoa ufafanuzi kwa wanahabari wanaoshiriki semina juu ya taarifa ya Mradi wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) mjini Kibaha. (Picha na Thehabari.com)
MRADI wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) umefanikiwa kuboresha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma hasa katika eneo la ukaguzi wa fedha katika taasisi na idara mbalimbali za Serikali. Kauli hiyo imetolewa jana Mjini Kibaha na Msemaji wa Wizara ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...
10 years ago
Michuzi15 May
Changamoto maboresho usimamizi wa fedha za umma zatajwa
![Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0051.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0009.jpg)
![Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (katikati) akiuliza swali kwa Mratibu wa Mradi wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) hayupo pichani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00171.jpg)
![Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0046.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zPP5t_WY_ho/U-9qJTua4MI/AAAAAAAAhqE/aoPAPRuNcDs/s72-c/IMG-20140814-WA0002.jpg)
MABORESHO YA USIMAMIZI FEDHA ZA UMMA YANAVYOBORESHA MAISHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zPP5t_WY_ho/U-9qJTua4MI/AAAAAAAAhqE/aoPAPRuNcDs/s1600/IMG-20140814-WA0002.jpg)
10 years ago
Michuzi15 May
Changamoto za maboresho ya usimamizi wa fedha za umma zatajwa
Mratibu wa Mradi huo,Bwa.Sebastian Ndandala ametaja changamoto hizo leo mjini Kibaha alipokuwa akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari pamoja na waendeshaji wa mitandao ya jamii ikiwa ni hatua ya kushirikisha vyombo vya habari juu ya utekelezaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Matumizi fedha za mradi yamfurahisha waziri
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amefurahishwa na matumizi mazuri ya fedha za mradi wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu unaolenga kuboresha sayansi na teknojia...
10 years ago
StarTV04 Mar
Udhibiti matumizi fedha za umma, halmashauri kushindanishwa kiutendaji.
Na Gloria Matola,
Dar es Salaam.
Serikali inatarajia kuanza utaratibu mpya wa kuzishindanisha Halmashauri zote nchini kiutendaji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa kuondoa matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kutoa tuzo kwa zile zitakazoshinda kwa matumizi mazuri ya fedha hizo.
Tanzania ina jumla ya Halmashauri 168 zilizoshiriki ambapo 49 miongoni mwao zimeweza kukidhi mahitaji ya shindano hilo.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Utumishi Hawa Ghasia amesema hivi sasa...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Matumizi mabaya ya fedha za umma, serikali yapoteza bilioni 250/-
Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba, wakati akitoa taarifa juu ya mwenendo na hatua za kisheria kwa viongozi wa umma wanaokiuka maadili.Katikati ni Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio na kulia ni Ofisa Programu Dawati la Waangalizi Watendaji...
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mradi wa TMEP wafanikiwa kuwabadilisha tabia Wanaume Manyoni
Mganga mkuu wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida, Dk.Rahim Hagai, akifafanua jambo kwa timu iliyokuwa inafanya tathimini juu ya utekelezaji wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
WANAUME mkoani Singida, endapo watashiriki kikamilifu usawa wa afya ya uzazi na ujinsia, hatua hiyo itasaidia kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa asilimia 80, imeelezwa.
Utabiri huo umetolewa na mganga mkuu wa wilaya ya Manyoni...
10 years ago
Habarileo24 Jun
Mwinyi ataka maboresho utumishi wa umma
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na washiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ili kuwa na utumishi uliotukuka kwa ustawi wa Taifa.