WATANZANIA WAHIMIZWA KUJIVUNIA VIVUTIO WALIVYO NAVYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXpDlUEhvCc/Xt25mz78HZI/AAAAAAALs9o/2wQOXMTUx3ID77l29xi3rql0sfB-JlKrACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-no-3-3-768x512.jpeg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (katikati) akisoma kibao kinachotoa maelezo kuhusu Michoro ya Miambani wakati alipotembelea kituo cha Michoro ya Miambani cha Kolo Kondoa, kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Malikale Bw. Revocatus Bugumba na kushoto kwake ni Bw. Zuberi Mabie ambaye ndiye Mkuu wa Kituo hicho.
katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (kushoto) akizungumzia umuhimu wa kuhifadhi michoro inayopatikana katika eneo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
‘Watanzania tembeleeni vivutio vya utalii’
WATANZANIA wamehimizwa kutembelea vivutio vya utalii nchini kwa ajili ya kujifunza, kutangaza utalii wa ndani na kuongeza pato la taifa. Ushauri huo ulitolewa juzi na Ofisa Utalii wa Hifadhi ya...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Watanzania waaswa kutembelea vivutio vya utalii
WATANZANIA wameaswa kutembelea vivutio vya utalii ili kuona mambo mbalimbali hususani wanyama waliopo kwenye hifadhi zote nchini na hasa nyakati za Sikukuu za mwishoni mwa mwaka yaani Krismasi na Mwaka Mpya.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--TB7oMduHQM/VawdTz50l0I/AAAAAAAHqkI/y2yFxvmLeQo/s72-c/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
WAISLAM WA STOCKHOLM WALIVYO JUMUIKA NA WATANZANIA WENZAO KWENYE SIKU KUU YA EID
![](http://3.bp.blogspot.com/--TB7oMduHQM/VawdTz50l0I/AAAAAAAHqkI/y2yFxvmLeQo/s640/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--z7IWuTp1Qc/VawdT0_y2DI/AAAAAAAHqkA/EVv1wuTpOFs/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cK3MHV-sqzM/VawdT7vymaI/AAAAAAAHqkE/WUijt1JuJ7U/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3mHa3xBy5bM/VawdUinwoFI/AAAAAAAHqkM/omR9pRbxJHQ/s640/unnamed%2B%252892%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Watanzania wahimizwa kupima afya
9 years ago
Habarileo29 Dec
Watanzania wahimizwa kumuombea Magufuli
MFANYABIASHARA na kada wa CCM wilayani hapa, Peter Zakaria amewaomba Watanzania kuzidi kumwombea na kumuunga mkono Rais John Magufuli katika juhudi zake za kupambana na ufisadi, huku akiwataka wafanyabiashara kuonesha uzalendo kwa kulipa kodi kwa wakati.
Zakaria ambaye katika vyombo vyake vya usafirishaji amebandika mabango yenye kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” alisema nia ya Rais Magufuli ni njema kuwaletea wananchi maendeleo na kurejesha imani ya Watanzania kwa CCM kwamba bado chama hicho...
9 years ago
StarTV05 Oct
Watanzania wahimizwa kudumisha amani
Kiongozi Mkuu Kanisa la Jeshi la Wokovu Duniani Jenerali Adre Cox amewataka Watanzania kuendeleza kudumisha Amani iliyopo inayotamaniwa na Nchi nyingi Ulimwenguni kwa kuhakikisha wanashiriki Uchaguzi kwa Salama.
Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la Jeshi la wokovu Duniani pia amewataka viongozi wa dini Nchini kwa Imani zote kuhakikisha wanaketi pamoja na kuwa na Lugha moja ya kuliombea Taifa ili Uchaguzi uwe Huru na Haki
Kiongozi huyo ambaye kwa mara ya mwisho alizuru nchi Tanzania mwaka 2002,...
10 years ago
Habarileo29 Dec
Watanzania wahimizwa kula vizuri
WATANZANIA wametakiwa kuzingatia ulaji wa vyakula na ufanyaji wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza, ambayo kwa sasa yanasababisha vifo vya watu wengi hapa nchini.
11 years ago
GPLWATANZANIA WAHIMIZWA MATUMIZI YA INTANETI
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Watanzania wahimizwa kupikia gesi
KAMPUNI kongwe ya huduma za umeme wa jua (solar) nchini, Katomu Investment Limited, imewahimiza Watanzania kupikia gesi majumbani mwao ili kuepuka gharama kubwa za kuni, mkaa na kuangamiza misitu. Akizungumza...