Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Japan haitaomba tena msamaha kwa watumwa

Japan haina nia ya kuwaomba tena msamaha wanawake waliotumiwa kama watumwa wa ngono na wanajeshi wakati wa vita vya pili vya dunia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Japan yakubali fidia kwa watumwa wa ngono

Japan na Korea Kusini zimefikia makubaliano ya kihistoria kuhusu wanawake waliolazimishwa kutumika kama watumwa wa ngono.

 

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe washindwa tena Japan

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameshindwa kwenye mechi yao ya pili fainali za Kombe la Dunia la Klabu zinazoendelea Japan.

 

5 years ago

Michuzi

SHERIA YA KODI YATOA MSAMAHA KWA MAPATO YASIYOZIDI MILIONI 4 KWA MWAKA

Na. Josephine Majura na Saidina Msangi, WFM, DodomaSerikali imeeleza kuwa Sheria ya Kodi imetoa msamaha wa kodi kwa wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na wastaafu ambao mapato yao kwa mwaka hayazidi Shilingi milioni nne.Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Lupembe, Mhe. Joram Ismael Hongoli, aliyetaka kujua sababu za Serikali kutoweka utaratibu wa kutowatoza kodi wastaafu ambao biashara zao hazizidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakipingao Kiswahili ni watumwa

Siku zote katika makala zangu nimekuwa nikitetea mapinduzi ya lugha ya Kiswahili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gervinho aomba msamaha kwa kadi nyekundu

Mchezaji wa Ivory Coast Gervinho ameomba msamaha baada ya kupewa kadi nyekundu kwa kumpiga mlinzi wa timu ya Guinea Naby Keita

 

11 years ago

Mwananchi

Msamaha kwa wafungwa uwekewe mfumo mpya

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwishoni mwa wiki, Rais Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini.

 

9 years ago

StarTV

Dk. Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 4,160

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160, ambapo kati yao wafungwa 867 wataachiliwa huru na wengine 3,293 watapunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifugo kilichobaki.

Rais huyo wa serikali ya awamu ya nne, ametoa msamaha huo katika kuaga na kukabidhi madaraka ya serikali yake kwa serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Rais Dr. John Pombe Magufuli.

Kabla ya kukabidhi madaraka, Rais...

 

10 years ago

Habarileo

Wafungwa wanawake Kingulwira waomba msamaha kwa Kikwete

PinguWAFUNGWA katika Gereza Kuu la Wanawake la Kingulwira, Morogoro wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwapa msamaha katika gereza hilo kwa sababu wamejirekebisha.

 

10 years ago

GPL

BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI

Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown. GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani. Bobby hakuonekana kabisa mwenye furaha katika tamasha hilo ambalo ni la pili kufanya tangu Januari… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani