TP Mazembe yachapwa 3 - 0 Klabu Bingwa Duniani
Wawakilishi wa Afrika katika michuano ya kombe la dunia la vilabu timu ya Tp Mazembe imechapwa na wenyeji wa michuano hiyo timu ya Sanfrecce Hiroshima 3-0.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
TP Mazembe nje Klabu Bingwa Afrika
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
TP Mazembe 2-1 USM Alger klabu bingwa Afrika
9 years ago
Bongo505 Oct
Mbwana Samatta aipeleka TP Mazembe fainali ya klabu bingwa barani Afrika
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
9 years ago
Bongo514 Dec
Kombe la dunia la Klabu: Sanfrecce Hiroshima ya Japan yazima matumaini ya TP Mazembe
![_87185831_gettyimages-501182938](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/87185831_gettyimages-501182938-300x194.jpg)
Matumaini ya TP Mazembe kufika kwenye fainali za kombe la dunia la klabu yamezimwa jana baada ya mabingwa hao wa Afrika kufungwa mabao 3-0 na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.
Mchezo huo ulipigwa kwenye uwanja wa Yanmar wa mjini Osaka, Japan.
Magoli hayo yalifungwa na Tsukasa Shiotani, Kazuhiko Chiba na Takuma Asano.
Kikosi cha Mazembe kilikuwa kikiundwa na wachezaji wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Mali, Zambia, Tanzania, Ghana na mchezaji mmoja tu kutoka DR Congo.
Thomas Ulimwengu na...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Klabu bingwa barani Ulaya
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Barcelona ndio klabu bingwa 2015
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Kitimtim michuano ya Klabu Bingwa Ulaya
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Droo ya Klabu Bingwa Ulaya leo