DAKIKA 90 ZA DUNIA. Mauaji kwenye kambi ya jeshi Fort Hood MAREKANI

Jenerali Mark Milley, Kamanda wa Fort Hood akizungumza na waandishi wa habari
Wiki iliyopita, nchi ya Marekani ilikumbwa na mauaji mengine yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi huko Fort Hood, Texas.
Jumatano Aprili 2, askari mmoja wa Jeshi la nchi hiyo, Ivan Lopez ambaye inasemekana alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo, aliwafyatulia risasi na kuwaua wanajeshi wenzake 3, kujeruhi 16 kabla hajajigeuzia bastola na kujiua
Mauaji haya, yanarejesha kumbukumbu ya mauaji makubwa kabisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
DAKIKA 90 ZA DUNIA. Mauaji kwenye kambi ya jeshi Fort Hood

Mauaji haya, yanarejesha kumbukumbu ya mauaji makubwa kabisa...
11 years ago
GPL
PRESIDENT OBAMA ADDRESSES FORT HOOD MASS SHOOTING 4/2/2014
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Hii ndiyo Kambi ya Jeshi la Uingereza kwenye Vita vya Kwanza vya Dunia
Ufaransa
Mashimo ya kupenya ndani kwa ndani chini ya ardhi yamevumbuliwa kwenye machimbo ya chokaa Kaskazini mwa Ufarasa na yanasadikika kuwa wanajeshi wa Uingereza waliishi humo wakati wa mapigano ya Vita vya Kwanza vya Dunia (WW1) vilivyofanyika kati ya waka 1914 hadi 1918.
Ndani ya mashimo hayo kumekutwa miamba migumu ambayo imeandikwa majina ya wapiganaji wa WW1 waliokufa na kuzikwa mule. Pia kuna makanisa ambamo waliabudu, mabaki ya gari na baiskeli za zamani...
10 years ago
Vijimambo29 Nov
MAUAJI YATOKEA KWENYE DUKA LA NORDSTROM CHICAGO, ILLINOIS CHINI MAREKANI.

Mwananmke huyo alikua ni mfanyakazi kwenye duka hilo na alikimbizwa hospitali akiwa na hali yake ni mbaya baada ya kufyatulia risasi na mwanaume ambaye inasemekana alikua rafiki yake wa kiume ambye yeye alikufa papo hapo kwenye tukio.
Hakuna mtu mwingine ndani ya...
11 years ago
Michuzi
mwana-Diaspora Boniface Makulilo azungumzia maisha katika jeshi la Marekani kwenye kipindi cha NJE-NDANI

Jeshi la Maji la Marekani (Navy) Mtanzania Boniface Makulilo ametumikia Jeshi la Maji (NAVY) hapa Marekani kwa miaka miwili na sasa ni mwanajeshi mstaafu (Veteran) Amezungumza na Mubelwa Bandio wa Jamii Production kuhusu maisha yake ya jeshini na namna ambavyo watu toka nje ya nchi wanaweza kunufaika na mafao yaliyopo jeshini. Ameeleza mengi ya manufaa ambayo wengi hatuyajui kuhusu maisha katika jeshi hilo. Karibu uungane...
5 years ago
Michuzi
DEREK CHAUVIN-MIAKA 18 YA KAZI, MALALAMIKO 18 NA DAKIKA 8 ZA MAUAJI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
DEREK Chauvin ofisa wa polisi nchini Marekani amefahamika zaidi tangu Mei 25 mwaka huu na hiyo ni baada ya kutekeleza mauaji ya mmarekani mweusi George Floyd hadharani kwa kumkandamiza shingo kwa takribani dakika nane hadi umauti ulipomkuta.
Derek Chauvin alizaliwa Machi 19, 1976 huko Fayetteville na alihamia Minneapolis, Minnesota mwaka 2014 na alianza kufanya kazi akiwa ofisa wa polisi katika idara ya polisi Minneapolis mwaka 2001.
Kabla ya kufanya...
10 years ago
BBCSwahili25 Dec
Kambi ya jeshi la AU yavamiwa Somalia
10 years ago
Vijimambo
[AUDIO] Dakika 90 za dunia..Uchaguzi Nigeria

11 years ago
BBCSwahili02 Nov
Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya