Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUAJI YATOKEA KWENYE DUKA LA NORDSTROM CHICAGO, ILLINOIS CHINI MAREKANI.

Mtu mmoja amefuatilia risasi mwanamke mmoja aliyesemakana ni rafiki yake wa kike na baadae kujifyatulia risasi yeye mwenyewe siku ya Ijumaa ndani ya duka la Nordstrom kwenye mji wa Chicago jimbo la Illinois mida ya saa 2:30 usiku.
Mwananmke huyo alikua ni mfanyakazi kwenye duka hilo na alikimbizwa hospitali akiwa na hali yake ni mbaya baada ya kufyatulia risasi na mwanaume ambaye inasemekana alikua rafiki yake wa kiume ambye yeye alikufa papo hapo kwenye tukio.
Hakuna mtu mwingine ndani ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WALK TO RAISE AWARENESS ERB'S PALSY IN CHICAGO, ILLINOIS

Today (Sunday Oct 19th,2014) Family and friends gathered together at Deer-Park Grove Forest Reserve to raising awareness for Erb's Palsy for My Amani Foundation. Amani Foundation's purpose is to raise awareness and provide resources via support and focus group to the families who have been affected by Erb's Palsy. Pic above is Amani Chekingo.Family and friends gathered together at Deer-Park Grove Forest Reserve to raising awareness for Erb's Palsy.Erb's Palsy (Brachial Plexus Birth Palsy) is...

 

11 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUOMBE MZEE WETU MAJOR SAMUEL ISAAC SHEKINGO -JUMAMOSI MARCH 8, 2014 CHICAGO-ILLINOIS

Mdau Samson Chekingo anapenda kuwataarifu wote Misa ya kumuombea Mpendwa Baba Yake Major Samuel Isaac Chekingo.Itakayofanyika siku ya Jumamosi 3-8-2014 kuanzia saa  9 jioni (3 PM) had 1 usiku (7 PM) Katika Kanisa la kiluteri lililopo HYDE PARK-South Side of Chicago.

Anuwani ya Kanisani:

AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH WOODLAWN AVE
CHICAGO - IL 60637 Tafadhali tunaomba kuzingatia muda wa Ibada ambayo itaanza saa 9 kamili (3pm).
Major Samuel Isaac...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji zaidi yatokea Nigeria

Ghasia zaidi zimetokea Kaskazini Mashariki mwa Nigeria ambapo watu 13 wameuawa baada ya watu wengine 29 kuuawa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Michuzi

DAKIKA 90 ZA DUNIA. Mauaji kwenye kambi ya jeshi Fort Hood MAREKANI

Jenerali Mark Milley, Kamanda wa Fort Hood akizungumza na waandishi wa habari Wiki iliyopita, nchi ya Marekani ilikumbwa na mauaji mengine yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi huko Fort Hood, Texas. Jumatano Aprili 2, askari mmoja wa Jeshi la nchi hiyo, Ivan Lopez ambaye inasemekana alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo, aliwafyatulia risasi na kuwaua wanajeshi wenzake 3, kujeruhi 16 kabla hajajigeuzia bastola na kujiua Mauaji haya, yanarejesha kumbukumbu ya mauaji makubwa kabisa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani

Wamarekani weusi katika mtaa wa Chicago nchini Marekani ni asilimia 70 ya watu waliofariki na virusi vya corona licha ya kuwa asilimia 30 ya idadi ya watu katika mtaa huo.

 

11 years ago

Michuzi

Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani

Wasilisha ombi la tiketi kabla ya Agosti 5 kwa safari za hadi Novemba 30, 2014

Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa mauaji atoroka chini ya ulinzi hospitalini

Salim MarwaMSHITAKIWA wa kwanza, Salim Marwa katika kesi ya mauaji ya raia wa Ghana, Joseph Opong ametoroka chini ya uangalizi akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo Movies

Akutana na Wema Sepetu Kwenye Duka la Samaki-4

WIKI iliyopita tuliishia pale ambapo mrembo wa kijijini kwa kina marehemu Kanumba alivyopagawa baada ya kumuona mwigizaji huyo katika runinga akiigiza michezo mbalimbali na kuonesha nia ya kukubali ombi la Kanumba.
Kanumba naye alimkataa kwani alijua amejirahisisha kwa sababu ya umaarufu na si penzi la dhati, akamchomolea.SASA ENDELEA...

Mwaka 2006 alijiunga katika Kampuni ya Mtitu Game First Quality ambapo aliweza kucheza sinema kama She is Johari, My Sister, Dar To Lagos, Cros My Sin, The...

 

10 years ago

GPL

AKUTANA NA WEMA SEPETU KWENYE DUKA LA SAMAKI

WIKI iliyopita tuliishia pale ambapo mrembo wa kijijini kwa kina marehemu Kanumba alivyopagawa baada ya kumuona mwigizaji huyo katika runinga akiigiza michezo mbalimbali na kuonesha nia ya kukubali ombi la Kanumba.
Kanumba naye alimkataa kwani alijua amejirahisisha kwa sababu ya umaarufu na si penzi la dhati, akamchomolea.SASA ENDELEA... Mwaka 2006 alijiunga katika Kampuni ya Mtitu Game First Quality ambapo aliweza kucheza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani