Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akutana na Wema Sepetu Kwenye Duka la Samaki-4

WIKI iliyopita tuliishia pale ambapo mrembo wa kijijini kwa kina marehemu Kanumba alivyopagawa baada ya kumuona mwigizaji huyo katika runinga akiigiza michezo mbalimbali na kuonesha nia ya kukubali ombi la Kanumba.
Kanumba naye alimkataa kwani alijua amejirahisisha kwa sababu ya umaarufu na si penzi la dhati, akamchomolea.SASA ENDELEA...

Mwaka 2006 alijiunga katika Kampuni ya Mtitu Game First Quality ambapo aliweza kucheza sinema kama She is Johari, My Sister, Dar To Lagos, Cros My Sin, The...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AKUTANA NA WEMA SEPETU KWENYE DUKA LA SAMAKI

WIKI iliyopita tuliishia pale ambapo mrembo wa kijijini kwa kina marehemu Kanumba alivyopagawa baada ya kumuona mwigizaji huyo katika runinga akiigiza michezo mbalimbali na kuonesha nia ya kukubali ombi la Kanumba.
Kanumba naye alimkataa kwani alijua amejirahisisha kwa sababu ya umaarufu na si penzi la dhati, akamchomolea.SASA ENDELEA... Mwaka 2006 alijiunga katika Kampuni ya Mtitu Game First Quality ambapo aliweza kucheza...

 

10 years ago

GPL

MAHOJIANO YA WEMA SEPETU KWENYE KIPINDI CHA TAKE ONE

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu 'Madam' akiwa katika pozi. Host wa kipindi cha Take One, Zamaradi Mketema (kulia) akifanya mahojiano na Wema Sepetu.…

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu amlilia Kanumba kwenye hili

Wema Sepetu amedai hakuna msanii aliyejaribu kuendeleza juhudi za marehemu Steven Kanumba ili kuipeleka tasnia ya filamu kimataifa. Wema ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa wapo waliojaribu lakini bado wanahitaji kuungwa mkono. “Hilo limekwamia hapo na sifahamu kama tutaweza kujikongoja tena, wapo tunaojaribu lakini bado tunahitaji kuungwa mkono sana kuhakikisha tunafanya kama alivyofanya yeye,” alisema Wema. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu: Huyu ndio “my Idol” kwenye kuigiza!!

Anaitwa Taraji Penda Herson, aliezaliwa miaka 44 iliyopita huko Washington, USA. ni moja kati ya waigizaji wakubwa wa huko Hollywood, ni mama wa mtoto mmoja na anaishi kama “Single Mother” ameshasheza tamthilia, vipindi vya televisheni na filamu mbalimbali zikiwemo  Think Like a Man, Madly Madagascar ,Think Like a Man Too na No Good Deed alizozicheza miaka ya hivi karibuni.

Chakushangaza sasa majina yake  mawili ya kwanza yana asili ya kiswahili kabisa  “Taraji"  na  "Penda"  wanayatafsiri...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema Sepetu Kwenye Uzinduzi Rasmi wa Mitsubishi ASX

Hizi ni baadhi ya picha  za mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu hapo jana usiku  katika uzinduzi rasmi  wa gari la kampuni ya Mitsubishi aina ya ASX  akiwa kama balozi.

Hivi karibuni Wema Sepetu na mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo, walipata shavu la kutengeneza tangazo la  gari hilo jipya  ambapo kwenye tangazo la gari hilo, mastaa hao wenye ushawishi mkubwa wanaonekana wakisifia vitu mbalimbali vilivyomo kwenye gari hilo.

Hongera sana Wema na team yako kutoka Endless...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani