Wema Sepetu: Huyu ndio “my Idol” kwenye kuigiza!!
Anaitwa Taraji Penda Herson, aliezaliwa miaka 44 iliyopita huko Washington, USA. ni moja kati ya waigizaji wakubwa wa huko Hollywood, ni mama wa mtoto mmoja na anaishi kama “Single Mother” ameshasheza tamthilia, vipindi vya televisheni na filamu mbalimbali zikiwemo Think Like a Man, Madly Madagascar ,Think Like a Man Too na No Good Deed alizozicheza miaka ya hivi karibuni.
Chakushangaza sasa majina yake mawili ya kwanza yana asili ya kiswahili kabisa “Taraji" na "Penda" wanayatafsiri...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu!
Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa staa kutoka bongo flevani, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money. Najua pia mmekuwa mkimfuatilia Vanessa kwenye matukio yake mengi na kwa ajili ya upendo wenu mmeamua pia kuwa karibu naye kwenye Instagram ili chochote atakachokifanya kisikupite. Ukitembelea Instagram page ya Vee Money @VanessaMdee sasa hivi utakutana na […]
The post Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu! appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies04 Dec
DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu
Ule usemi wa duniani watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...