Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wanuka rushwa

WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha. Kuenea kwa taarifa za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wabunge: Wala rushwa wanyongwe

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa kisiasa kuogopa kama ilivyo kwenye nchi nyingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni

Mbunge wa Viti Maalum, Suzan Kiwanga (Chadema), amewaumbua wabunge wenzake kuwa wanapeana na kuchukua rushwa ndani ya Bunge.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge walia na rushwa ofisi za umma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.KUKOSEKANA kwa Sheria ya kutenganisha biashara na uongozi ili kuweka nidhamu kwa viongozi wa umma kumesababisha kuwepo na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa viongozi hao, ambao wamekuwa wakitumia ofisi za umma kwa maslahi binafsi, hivyo kufanya vitendo vya rushwa kukithiri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dola imeamua kuwapa rushwa wabunge

‘KIINUA mgongo kwa wabunge ni rushwa inayofadhiliwa na dola? Hili ni swali kubwa linalozunguka katika vichwa vya Watanzania hivi sasa. Swali hili linatokana na taarifa zilizochapishwa Januari 30, mwaka huu...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wapinga kesi za rushwa kupitia kwa DPP

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ipewe meno ya kushughulikia rushwa kubwa na wahujumu uchumi na wenyewe wapeleke watuhumiwa wao moja kwa moja kortini.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wanuka pombe kufutiwa leseni

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harison Mwakyembe na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, wakionesha ripoti ya hali ya ajali zinazosababishwa na mabasi Dar es Salaam jana. Ripoti hiyo iliandaliwa na kamati maalumu iliyoundwa kutokana na mawaziri wa wizara nne kutafuta suluhisho la ajali za mabasi nchini. (Picha na Mroki Mroki).KAMATI Maalumu iliyoundwa na Serikali kutathmini ongezeko la ajali za barabarani nchini, imependekeza madereva watakaokutwa wakinukia pombe, wafutiwe leseni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?

‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA

SAM_2509Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2498Makamu Mwenyekiti bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa Mh.Florince...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZUWIA RUSHWA NI WALARUSHWA WAKUBWA!!!! HII INACHEKESHA - NCHI HII IMEKWISHA - RUSHWA TOP TO BOTTOM!!!

Dk Edward Hoseah, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)Licha Kama hajatawala mwendawazimu mmoja na akawafyeka vitanzi akina Chenge na wenziwe, nchi hii itabakia na rushwa milele! Wamo pia maofisa TRA, mahakimu na majaji Vyombo vya habari vyapongezwa�'vikaze buti'ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kutakiwa kuzuia rushwa, maofisa wake wametajwa kuwa vinara wa kula rushwa, utafiti umebaini.Aidha, utafiti uliofanywa na Afrobarometer umebaini kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani