Madereva wanuka pombe kufutiwa leseni
KAMATI Maalumu iliyoundwa na Serikali kutathmini ongezeko la ajali za barabarani nchini, imependekeza madereva watakaokutwa wakinukia pombe, wafutiwe leseni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...
11 years ago
Habarileo21 May
Migodi 18 ya tanzanite kufutiwa leseni
MIGODI 18 ya madini aina ya tanzanite yaliyopo Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara inafutiwa leseni ya uchimbaji baada ya wamiliki wa migodi hiyo kukiuka sheria ya madini.
10 years ago
Habarileo04 Apr
Madereva wanane wafutiwa leseni
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) imewafutia leseni madereva wanane, waliosababisha ajali kwa uzembe na hawataruhusiwa kuendesha mabasi ya abiria.
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Ukaguzi leseni na vyeti vya madereva waanza
![Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mohamed-Mpinga.jpg)
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga
ADAM MKWEPU NA CHRISANTA CHRISTIAN, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi jana limeanza kufanya ukaguzi wa leseni na vyeti vya madereva kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na nchi jirani Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia ajali za barabarani nchini kuongezeka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema kuwa ukaguzi huo una lengo la kuchunguza madereva ambao...
5 years ago
MichuziMADEREVA 13 WAMESIMAMISHIWA LESENI ZAO KWA MUDA WA MIEZI SITA
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu akiwa na dereva aliyekuwa anaendesha basi bila kufuata utaratibu na sheria za barabarani.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Madereva 13 wamesimamishiwa leseni zao kwa muda wa miezi sita na kutokujihusisha na kazi ya udereva wa magari makubwa kwa kosa la kuvunja sheria za uslama barabarani kwa kuendesha
magari hayo kwa mwendo kasi.
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu ameeleza kuwa suala la ajari...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rc15gsfjFDM/VVNNKlDuF7I/AAAAAAAHXCc/I12FhZRVlAA/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MADEREVA NCHINI KUENDELEA NA UTARATIBU WA AWALI KUHUISHA LESENI ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rc15gsfjFDM/VVNNKlDuF7I/AAAAAAAHXCc/I12FhZRVlAA/s640/unnamed%2B(59).jpg)
Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam
Serikali imesema hakutakuwa na mafunzo kwa madereva wa malori na mabasi na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s72-c/7.jpg)
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbI-B1iVfYE/VXx18I7VJZI/AAAAAAAC6gI/hvmtw1Akl_4/s640/14.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Wabunge wanuka rushwa
WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha. Kuenea kwa taarifa za...