Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dola imeamua kuwapa rushwa wabunge

‘KIINUA mgongo kwa wabunge ni rushwa inayofadhiliwa na dola? Hili ni swali kubwa linalozunguka katika vichwa vya Watanzania hivi sasa. Swali hili linatokana na taarifa zilizochapishwa Januari 30, mwaka huu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mugabe aita wabunge kuwapa hotuba sahihi

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anatarajiwa kutoa hotuba sahihi kwa bunge leo baada yake kusoma hotuba ya zamani kikao cha jana.

 

10 years ago

Habarileo

CCM ikisimamisha mla rushwa, itapoteza dola, asema Wassira

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraWAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya kosa kumsimamisha mgombea mla rushwa, kitapoteza dola.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wakerwa matumizi ya dola

Wabunge wameonyesha kukerwa na mtindo unaoshamiri wa matumizi ya Dola ya Marekani nchini, jambo ambalo linasababisha kuporomoka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wanuka rushwa

WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha. Kuenea kwa taarifa za...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge: Wala rushwa wanyongwe

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa kisiasa kuogopa kama ilivyo kwenye nchi nyingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni

Mbunge wa Viti Maalum, Suzan Kiwanga (Chadema), amewaumbua wabunge wenzake kuwa wanapeana na kuchukua rushwa ndani ya Bunge.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge walia na rushwa ofisi za umma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.KUKOSEKANA kwa Sheria ya kutenganisha biashara na uongozi ili kuweka nidhamu kwa viongozi wa umma kumesababisha kuwepo na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa viongozi hao, ambao wamekuwa wakitumia ofisi za umma kwa maslahi binafsi, hivyo kufanya vitendo vya rushwa kukithiri.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wapinga kesi za rushwa kupitia kwa DPP

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ipewe meno ya kushughulikia rushwa kubwa na wahujumu uchumi na wenyewe wapeleke watuhumiwa wao moja kwa moja kortini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar imeamua kurejesha udikteta?

UTAWALA wa kifashisti na udikteta huwa na sura nyingi  na nyingine  huwa za kuvutia ili kuuhadaa umma (watawala huuona umma kama kundi la mabwege). Madikteta huwa hawajali wala hawaheshimu haki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani