Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar imeamua kurejesha udikteta?

UTAWALA wa kifashisti na udikteta huwa na sura nyingi  na nyingine  huwa za kuvutia ili kuuhadaa umma (watawala huuona umma kama kundi la mabwege). Madikteta huwa hawajali wala hawaheshimu haki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Makamba: Tunahitaji ‘udikteta’

Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Mbunge wa Bumbuli (CCM), January Makamba amekwenda mbali zaidi; anasema dawa ni kufanya uamuzi wa kidikteta.

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta avaa joho la udikteta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.

Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.

Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura alia udikteta Simba

ALIYEKUWA mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kabla ya kuchujwa, Michael Richard Wambura, amewakingia kifua wanachama 69 waliosimamishwa na uongozi mpya na kusema kitendo hicho kinajenga misingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dola imeamua kuwapa rushwa wabunge

‘KIINUA mgongo kwa wabunge ni rushwa inayofadhiliwa na dola? Hili ni swali kubwa linalozunguka katika vichwa vya Watanzania hivi sasa. Swali hili linatokana na taarifa zilizochapishwa Januari 30, mwaka huu...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI GLOBAL PUBLISHERS IMEAMUA KUPAMBANA NA HOMA YA INI?

Mgonjwa mwenye Hepatitis B ngozi na macho yake vikiwa vya njano. Na Mwandishi Wetu
Taifa la Tanzania lipo kwenye hatari kubwa. Hepatitis B (homa ya ini) ni janga la kitaifa na dunia kwa jumla. Nchi yetu (Tanzania) ipo Kusini ya Jangwa la Sahara, eneo ambalo kijiografia ndilo hatari zaidi ulimwenguni kwa maambukizi. Ni ugonjwa hatari ambao hauna tiba ya moja kwa moja lakini kinga ipo. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba wananchi...

 

10 years ago

CloudsFM

Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya

Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.


Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mkurugenzi apinga kurejesha fedha


Na Chibura Makorongo, Itilima
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Abdallah Malela, amepinga agizo la kurejesha fedha za halmshauri mpya ya Itilima zilizotolewa na Hazina.
Pia anadaiwa kuwatimua ofisini kwake madiwani wa Itilima waliokwenda kudai fedha hizo.
Kauli hiyo ilitolewa katika baraza la madiwani wa halmashauri ya Itilima na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri, Khamis Mughata, ambaye alisema kamati yake ilishindwa kudai fedha hizo kutokana na mkurugenzi huyo kuwafukuza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Agizo la kurejesha magari ya Toyota

Kampuni ya kutengeza magari ya Toyota nchini Japan, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni 1.9 aina ya Prius kutokana na hitilafu.

 

10 years ago

GPL

UNATAKA KUREJESHA PENZI LILILOKUFA?

ASALAMALEIKUM ndugu zangu Waislamu ambao mpo ndani ya mfungu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Bila shaka shaka swaumu inapanda na ishallah Mungu atawafanyia wepesi mtaumaliza mwezi huu salama. Nikirudi katika mada yangu ya leo, nazungumza zaidi na wale ambao walikuwa wapenzi lakini kutokana na sababu mbalimbali walifikia hatua ya kutofautiana. Penzi lao likaota mbawa. Wameona sera zao haziendani, wakaamua kuachana. Kila mmoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani