Sitta avaa joho la udikteta
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.
Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.
Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Makamba: Tunahitaji ‘udikteta’
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Dhihaka ya joho na shahada
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Zanzibar imeamua kurejesha udikteta?
UTAWALA wa kifashisti na udikteta huwa na sura nyingi na nyingine huwa za kuvutia ili kuuhadaa umma (watawala huuona umma kama kundi la mabwege). Madikteta huwa hawajali wala hawaheshimu haki...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Polisi wavaa joho la CCM
MKAKATI wa kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) nje ya Bunge, ambao awali ulikuwa ukifanywa na viongozi na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje na ndani ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Wambura alia udikteta Simba
ALIYEKUWA mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kabla ya kuchujwa, Michael Richard Wambura, amewakingia kifua wanachama 69 waliosimamishwa na uongozi mpya na kusema kitendo hicho kinajenga misingi...
10 years ago
MichuziRais Kikwete akabidhiwa Joho na Cheti cha Shahada ya Doctor of Laws
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZWwI4exXgQXxFJv9ji1GRTpdMllVSY8YPOCpxkBB10onyJyZRE058Bw8AGVXcbtQiQOoArB8qTfK6SSqSl*df-/BACKUMAMOSI.jpg)
KHAA! MZAZI MWENZIYE SUGU AVAA PEMPASI UKUMBINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lPHB*-ZNp6giwF*dAq2-KMEOgtdy2yppIs-DaF-yBMqfkJgTg6nc3sKoUaTjHT2mBLY7Lab8C7vM3SNlqRW6vJS/BACKAMANI.jpg)
AIBU ILIYOJE: MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA
10 years ago
Vijimambo13 Mar
MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA LIVE BILA CHENGA
Kwa mujibu wa mama Baraka,...