KHAA! MZAZI MWENZIYE SUGU AVAA PEMPASI UKUMBINI
![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZWwI4exXgQXxFJv9ji1GRTpdMllVSY8YPOCpxkBB10onyJyZRE058Bw8AGVXcbtQiQOoArB8qTfK6SSqSl*df-/BACKUMAMOSI.jpg)
Stori: Imelda Mtema Kituko! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, aligeuka kituko baada ya kuingia ukumbini akiwa amevalia mavazi wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’. Faiza akiwa na pempasi ukumbini. Tukio hilo lilitokea juzikati katika Hotel ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar, ambako walialikwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CgwvKmsfinqlSCaK8Dr5AbWGce4mBURChVJ-naeQtRdL96ty7G3qvqYOnxCR64Je4nh9y4IEC3UlBvocWY1jXfIwpFnE-qRU/20150728_093840Copy.jpg?width=650)
MZAZI MWENZIYE SUGU MAHAKAMANI TENA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GQo7Ia7XFRk/VXyUp4GAjcI/AAAAAAAAvtM/vesdtuA4n5U/s72-c/not%2Brait.jpg)
KIVAZI KILICHO TAMBA KWENYE KILIMANJARO MUSIC AWARD NI HIKI CHA MZAZI MWENZIE MH. SUGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-GQo7Ia7XFRk/VXyUp4GAjcI/AAAAAAAAvtM/vesdtuA4n5U/s640/not%2Brait.jpg)
Baada ya Lile vazi alilovaa Siku ya All White Party ya Zari Kuleta Ngumzo Mitandaoni ..Leo Tena Mwanadada Faiza Ally Amekuja na Mpya Kwenye Tuzo za KTMA...Baadhi ya Watu Wamekerwa na Vazi Hilo na Kusema Yafuatayo:Angelayubu Loooh shoga ata kama umaarufu umezidi iyo sasa shombo
Jestina George Sina kawaida hii lakini leo wacha niseme Faiza jamani why?? Not on the red carpet my love Noti Raiti kabisa mamii ake!!! I appreciate ubunifu wako but this is a NO! NO! Juu na mbele sawa kidogo huko nyuma...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7A*qWbPlysjqFOSURzNKq6M*Zv1kGTkkZzZ8xQOgjlN-Jd2dUStM7q97PHKdLXDQXbIpSwhmT4fdYnI2x9KQPh/IMG20141218WA0003.jpg?width=650)
FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaq6PJZ3AcfAFWIX3eTAUFwjCsJkC1QIsL39aOr8c4rATDnl8XWVOu6r9PZxTQZ2XT0txBtXkf8-gdk8*5hKKg28/Sura.gif?width=650)
ACHAKAZWA SURA NA MKE MWENZIYE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s72-c/Faiza%2BAlly.jpg)
ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s640/Faiza%2BAlly.jpg)
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”
![](http://4.bp.blogspot.com/-C13XujLAcN0/VJsfJQE-s5I/AAAAAAAAEkE/MCRdlC88XGs/s640/Faiza%2BAlly2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND1BRRFuWEYHjxOWrNGwtLmJBBDuthawjhqcFvvXfcMsGgC7WxRN3FLk6pwqHJ*jIJLCeSv7KqvT7piyGaYK7uqZ/KOMBA.jpg)
KHAA! KOMBA
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Khaa! twadanganywa kama watoto?
“OLE wenu … viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza Ngamia … wanafiki kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi....
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Ziara hizi za kushtukiza, khaa!
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia runinga mara chache nikibahatika kupita mahala kuna runinga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo.
Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku...
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Sitta avaa joho la udikteta
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.
Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.
Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...