Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHAA! KOMBA

Stori: na waandishi wetu
UKISIKIA khaa! Kwa tafsiri ya Lugha ya Kiswahili ina maana ya mshangao, unachosubiri ni kuona au kusikia kinachostaajabisha ambapo leo jina la Komba mtu anayetajwa kwa hadhi ya uheshimiwa ndilo linalowashangaza wengi, subiri uhabarishwe. Mheshimiwa Komba akiwa na binti wa umri sawa na mtoto wake aliyefahamika kwa jina la Agnes katika hoteli maarufu iliyopo mjini Dodoma. KOMBA ANASHANGAZA NINI?
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Ziara hizi za kushtukiza, khaa!

Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia runinga mara chache nikibahatika kupita mahala kuna runinga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo.

Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Khaa! twadanganywa kama watoto?

“OLE wenu … viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza Ngamia … wanafiki kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi....

 

10 years ago

GPL

KHAA! MZAZI MWENZIYE SUGU AVAA PEMPASI UKUMBINI

Stori: Imelda Mtema
Kituko! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, aligeuka kituko baada ya kuingia ukumbini akiwa amevalia mavazi wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’. Faiza akiwa na pempasi ukumbini. Tukio hilo lilitokea juzikati katika Hotel ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar, ambako walialikwa...

 

9 years ago

GPL

KHAA! MREMBO AJITOSA KWENYE TOPE KUSHEREHEKEA USHINDI WA MAGUFULI

SIJALI! Mrembo mmoja mkazi wa mjini Tunduma wilayani Momba mkoani hapa ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amejikuta akiwa sinema ya bure kufuatia uamuzi wake wa kujitosa kwenye maji yenye tope akidai anasherehekea ushindi wa Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mrembo huyo akijigaragaza kwenye matope. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mtaa wa CCM...

 

11 years ago

GPL

KHAA! MZUNGU DAR ADAIWA KUMLAZIMISHA HAUSIGELI AFANYE MAPENZI NA MBWA WAKE

Stori: Waandishi Wetu KHAA! Katika hali ya kushangaza, dada wa kazi za nyumbani (hausigeli) mkazi wa Tabata  jijini Dar aliyetambulika kwa jina moja la Aneth, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudai kuwa bosi wake ambaye ni Mzungu amemlazimisha kufanya mapenzi na mbwa wake. Mapolisi wakiwa wametinga nyumbani kwa mzungu na silaha. Kushoto ni hausigeli.
Mzungu huyo ambaye jina tunalihifadhi, alidaiwa kufanya tukio hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani