KHAA! MREMBO AJITOSA KWENYE TOPE KUSHEREHEKEA USHINDI WA MAGUFULI
![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGRolBTPoJlW7eGSoRHz6XzCs8NoLCKOq*5VymDqvQ131vIuKgT2IEMg7Kdq6JNQNvl7RKnbefsdXtOJud8eZvMg/mrembo.jpg?width=650)
SIJALI! Mrembo mmoja mkazi wa mjini Tunduma wilayani Momba mkoani hapa ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amejikuta akiwa sinema ya bure kufuatia uamuzi wake wa kujitosa kwenye maji yenye tope akidai anasherehekea ushindi wa Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mrembo huyo akijigaragaza kwenye matope. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mtaa wa CCM...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Feb
MVUA MAKETE ILIVYOMKWAMISHA MKUU WA MKOA WA NJOMBE KWENYE TOPE
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!
10 years ago
VijimamboShamra Shamra za Kusherehekea Ushindi wa Majimbo ya Wilaya ya Amani Unguja
10 years ago
VijimamboMISSY T ALIVYOTOKELEZEA NA KUSHEREHEKEA EID KWENYE DICOTA 2014 DURHAM, NC
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEKEA KUAPISHWA KWA RAIS DK. MAGUFULI
9 years ago
Bongo519 Oct
Davido kusherehekea birthday yake ya 23 kwenye majiji manne ya nchi tofauti duniani
9 years ago
Bongo501 Dec
Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli
![11875527_879234492167295_1538931681_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11875527_879234492167295_1538931681_n-300x194.jpg)
Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.
Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.
Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.
Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.
This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...
10 years ago
GPLZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani
Weekend hii itakuwa na headlines za urembo kwenye mataji mawili makubwa duniani, yani ni kwamba itashuhudiwa fainali ya Miss World ambayo itafanyika Dec 19 2015 ndani ya Sanya China, alafu siku inayofatia yani December 20 itakuwa ni fainali ya Miss Universe Marekani. Tanzania ina mwakilishi kwenye stage ya Miss Universe 2015 Marekani ambaye ni mrembo mwenye […]
The post Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani appeared first on TZA_MillardAyo.