Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHAA! MREMBO AJITOSA KWENYE TOPE KUSHEREHEKEA USHINDI WA MAGUFULI

SIJALI! Mrembo mmoja mkazi wa mjini Tunduma wilayani Momba mkoani hapa ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amejikuta akiwa sinema ya bure kufuatia uamuzi wake wa kujitosa kwenye maji yenye tope akidai anasherehekea ushindi wa Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mrembo huyo akijigaragaza kwenye matope. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mtaa wa CCM...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MVUA MAKETE ILIVYOMKWAMISHA MKUU WA MKOA WA NJOMBE KWENYE TOPE

Gari la mkuu wa mkoa wa Njombe likiwa limekwama kwenye tope kijiji cha utweve makete.   Wadau wakisukuma gari hilo, na huyu ni mwenyekiti wa kijiji cha Utweve akijitahidi kusukuma.  Hali tete hapa, gari hilo likiwa limenasa mtaroni  wadau wakijitahidi kuvuta gari hilo  jitihada zikiendelea. Gari la mkuu wa mkoa wa Njombe, kapteni mstaafu Aseri Msangi limekwama kwa zaidi ya saa kadhaa katika kijiji cha Utweve wilayani Makete wakati akiwa ziarani kukagua maendeleo ya sekondari ya...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo! Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope! “aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya […]

 

10 years ago

Vijimambo

Shamra Shamra za Kusherehekea Ushindi wa Majimbo ya Wilaya ya Amani Unguja

Washindi wa Jimbo la Mpendae Mbunge na Mwakilishi wakiwasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Wilaya ya Mjini Amani kuhudhuria utoaji wa matokeo ya Kura za maoni ya Majimbo yaoWanachama wa CCM wakisherehekea ushindi wa Wagombea wao wakati wakiwasili katika Afisi ya CCM Wilaya ya Amani kuhudhuria sherehe za utoaji wa majina ya Washindi wa Kura za Maoni katika majimbo yao Matano, Amani, Magomeni, Kwamtipura, Chumbuni na Mpendae. Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika viwanja vya Afisi...

 

10 years ago

Vijimambo

MISSY T ALIVYOTOKELEZEA NA KUSHEREHEKEA EID KWENYE DICOTA 2014 DURHAM, NC

Missy Temeke (kati)akipata picha ya pamoja na Balozi wa kudimu wa Africn Union nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali pamoja na msaidizi wake mara baada ya Missy T kurejea kuswali sala ya Eid siku ya Jumamosi )ct 4, 2014 Durham North Carolina nchini Marekani.Missy T katika picha ya pamoja na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bw. Iddi Sandaly mara tu baada yaa sala ya Eid iliyofanyika asubuhi ya Oct 4, 2014 mjini Durham, North Carolina. Missy T katika picha ya pamja na wawakilishi wa Global...

 

9 years ago

GPL

HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEKEA KUAPISHWA KWA RAIS DK. MAGUFULI

 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi usiku kwa ajili ya mchapalo maalum ulioandaliwa na Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli kusherehekea kuapishwa kwake.  Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Davido kusherehekea birthday yake ya 23 kwenye majiji manne ya nchi tofauti duniani

Davido ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa Nigeria wenye mafanikio makubwa licha ya kuwa pia anatoka kwenye familia tajiri. Mara nyingi Davido na wasanii wengine huwa wana-share na mashabiki wao kwenye mitandao ya kijamii jinsi wanavyozihangaikia noti usiku na mchana kwa kusafiri kufanya shows, kushoot videos n.k, na ndio sababu hua hawaoni tabu pia […]

 

9 years ago

Bongo5

Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli

11875527_879234492167295_1538931681_n

Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.

11875527_879234492167295_1538931681_n

Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.

Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.

Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.

12224181_540827232738239_945873871_n

This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...

 

10 years ago

GPL

ZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO

MPENZI wa nguli wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari the Boss Lady' ameamua kutupia picha ya mrembo aliyejichora jina la Diamond kwenye ziwa 'nido' lake la kushoto. Zari ameamua kutupia picha hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram akionyesha kuwa mpenzi wake anakubalika vilivyo miongoni mwa warembo. Wengi wa mashabiki wa Zari the Boss Lady wameonekana kuvutiwa na picha hiyo na...

 

9 years ago

MillardAyo

Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani

Weekend hii itakuwa na headlines za urembo kwenye mataji mawili makubwa duniani, yani ni kwamba itashuhudiwa fainali ya Miss World ambayo itafanyika Dec 19 2015 ndani ya Sanya China, alafu siku inayofatia yani December 20 itakuwa ni fainali ya Miss Universe Marekani. Tanzania ina mwakilishi kwenye stage ya Miss Universe 2015 Marekani ambaye ni mrembo mwenye […]

The post Mrembo wetu Lorraine anavyoibeba Tanzania kwenye stage ya Miss Universe Marekani appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani