Davido kusherehekea birthday yake ya 23 kwenye majiji manne ya nchi tofauti duniani
Davido ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa Nigeria wenye mafanikio makubwa licha ya kuwa pia anatoka kwenye familia tajiri. Mara nyingi Davido na wasanii wengine huwa wana-share na mashabiki wao kwenye mitandao ya kijamii jinsi wanavyozihangaikia noti usiku na mchana kwa kusafiri kufanya shows, kushoot videos n.k, na ndio sababu hua hawaoni tabu pia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL06 May
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!
9 years ago
Bongo521 Nov
Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake
![Tyga and Kylie](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Tyga-and-Kylie-300x194.jpg)
Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.
Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.
Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.
Vyanzo vingine vimesema...
10 years ago
CloudsFM29 Sep
DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.
9 years ago
Bongo516 Sep
Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake
10 years ago
VijimamboDJ SEIF ANAWAALIKA KWENYE BIRTHDAY YAKE JUMAMOSI HII SAFARI CLUB
Kufika kwako ndio kufanikisha Bash hii itakayokufanya kumalizia wiki ya Thanksgiving kwa bash la nguvu ndani ya kiota kinachoongoza Afrika mashariki kilichopo Washington, DC anuani ni 4306 Georgia Av, NW, Washington, DC 20011
KARIBUNI
9 years ago
Bongo514 Nov
Mo Music kuachia single mpya ‘Skendo’ kwenye birthday yake Nov.14
![Mo Music skendo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mo-Music-skendo-300x194.jpg)
Msanii aliyewashtua mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kwa single yake ya kwanza ‘Basi Nenda’ mwaka jana, ambayo ilikuja kuwa kama ‘wimbo wa taifa’ kwa jinsi ilivyokubalika, Mo Music anarudi na single mpya iitwayo ‘Skendo’.
Novemba 14 ni birthday ya mwimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Moshi Katemi kutoka Mwanza, na ndio ameichagua kuwa siku ya kuiachia single hiyo ya tano baada ya ‘Nitazoea’.
‘Skendo’ imeandikwa na kutayarishwa na producer Lollipop ambaye ndiye aliyehusika na uandishi...