MZAZI MWENZIYE SUGU MAHAKAMANI TENA
![](http://api.ning.com:80/files/CgwvKmsfinqlSCaK8Dr5AbWGce4mBURChVJ-naeQtRdL96ty7G3qvqYOnxCR64Je4nh9y4IEC3UlBvocWY1jXfIwpFnE-qRU/20150728_093840Copy.jpg?width=650)
Faiza Ally akiwa mahakamani. Imelda Mtema FAIZA Ally, ambaye ni mzazi mwenzie na mbunge wa Mbeya mjini kwa ‘leseni’ ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Mr. Sugu’ anadaiwa kukata rufaa na kurudi mahakamani kudai upya haki yake juu ya malezi ya mtoto wake. ...Soma zaidi===> http://bit.ly/1fNStQE ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZWwI4exXgQXxFJv9ji1GRTpdMllVSY8YPOCpxkBB10onyJyZRE058Bw8AGVXcbtQiQOoArB8qTfK6SSqSl*df-/BACKUMAMOSI.jpg)
KHAA! MZAZI MWENZIYE SUGU AVAA PEMPASI UKUMBINI
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Wadaiwa sugu wa ardhiwafikishwa mahakamani
NA RACHEL KYALA
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imezifikisha mahakamani kampuni 11 ambazo ni wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi.
Miongoni mwa kampuni hizo zinadaiwa ni S.H Amon, Highland Estate na Costix Limited ambazo zinadaiwa sh. milioni 80.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba, Wilaya ya Ilala, Yose Mlyambina, alisema malalamiko dhidi ya kampuni na watu binafsi 120, yaliwasilishwa katika baraza hilo na Kamishna wa Ardhi, Dk. Moses...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GQo7Ia7XFRk/VXyUp4GAjcI/AAAAAAAAvtM/vesdtuA4n5U/s72-c/not%2Brait.jpg)
KIVAZI KILICHO TAMBA KWENYE KILIMANJARO MUSIC AWARD NI HIKI CHA MZAZI MWENZIE MH. SUGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-GQo7Ia7XFRk/VXyUp4GAjcI/AAAAAAAAvtM/vesdtuA4n5U/s640/not%2Brait.jpg)
Baada ya Lile vazi alilovaa Siku ya All White Party ya Zari Kuleta Ngumzo Mitandaoni ..Leo Tena Mwanadada Faiza Ally Amekuja na Mpya Kwenye Tuzo za KTMA...Baadhi ya Watu Wamekerwa na Vazi Hilo na Kusema Yafuatayo:Angelayubu Loooh shoga ata kama umaarufu umezidi iyo sasa shombo
Jestina George Sina kawaida hii lakini leo wacha niseme Faiza jamani why?? Not on the red carpet my love Noti Raiti kabisa mamii ake!!! I appreciate ubunifu wako but this is a NO! NO! Juu na mbele sawa kidogo huko nyuma...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytqQkAwaT3mZCOtJB3W3u3wVmxtYzBrvrK047ROglE85tU97tvSNebAyYjE-5OEWleg8EKoOpABzLhmbYEMCI7*f/TT.jpg?width=650)
ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: TOP IN DAR INAKUWAJE TENA MZAZI?
10 years ago
Bongo504 Dec
Chidi Benz kurudi tena mahakamani January 15
11 years ago
CloudsFM17 Jul
KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaq6PJZ3AcfAFWIX3eTAUFwjCsJkC1QIsL39aOr8c4rATDnl8XWVOu6r9PZxTQZ2XT0txBtXkf8-gdk8*5hKKg28/Sura.gif?width=650)
ACHAKAZWA SURA NA MKE MWENZIYE
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Sep
Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?
Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]
The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s72-c/Faiza%2BAlly.jpg)
ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s640/Faiza%2BAlly.jpg)
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”
![](http://4.bp.blogspot.com/-C13XujLAcN0/VJsfJQE-s5I/AAAAAAAAEkE/MCRdlC88XGs/s640/Faiza%2BAlly2.jpg)