Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamba: Tunahitaji ‘udikteta’

Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Mbunge wa Bumbuli (CCM), January Makamba amekwenda mbali zaidi; anasema dawa ni kufanya uamuzi wa kidikteta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Sitta avaa joho la udikteta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.

Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.

Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar imeamua kurejesha udikteta?

UTAWALA wa kifashisti na udikteta huwa na sura nyingi  na nyingine  huwa za kuvutia ili kuuhadaa umma (watawala huuona umma kama kundi la mabwege). Madikteta huwa hawajali wala hawaheshimu haki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura alia udikteta Simba

ALIYEKUWA mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kabla ya kuchujwa, Michael Richard Wambura, amewakingia kifua wanachama 69 waliosimamishwa na uongozi mpya na kusema kitendo hicho kinajenga misingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji ujasiri si msaada

TUMESHTUSHWA na taarifa zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuwa kuna mtandao mkubwa wa majangili wanaoendesha biashara haramu ya pembe za ndovu. Kauli hii ni ya kushtusha kwa kuwa serikali haipaswi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji katiba ya maridhiano

KESHOKUTWA Bunge Maalum la Katiba, lililoahirishwa Aprili 16 mwaka huu, linatarajia kuendelea na vikao vyake bila uwepo wa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). UKAWA walisusia vikao vya...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’

Serikali imetakiwa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiuchumi ili uendane na maisha halisi ya Watanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji umakini Bunge la Katiba

NIMESIKITISHWA na jinsi Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilivyotendewa. Tunaalani vitendo vyote na matamshi yaliyolenga kuichafua Tume ya Katiba kwa malengo ya kisiasa. Kuchafuliwa ama kudhalilishwa kwa Tume ya Katiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji katiba yenye maridhiano

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili leo, ni kauli ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, akimtaka Rais Jakaya Kikwete, awaombe radhi Watanzania kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani