Makamba: Tunahitaji ‘udikteta’
Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Mbunge wa Bumbuli (CCM), January Makamba amekwenda mbali zaidi; anasema dawa ni kufanya uamuzi wa kidikteta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Sitta avaa joho la udikteta
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.
Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.
Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Zanzibar imeamua kurejesha udikteta?
UTAWALA wa kifashisti na udikteta huwa na sura nyingi na nyingine huwa za kuvutia ili kuuhadaa umma (watawala huuona umma kama kundi la mabwege). Madikteta huwa hawajali wala hawaheshimu haki...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Wambura alia udikteta Simba
ALIYEKUWA mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kabla ya kuchujwa, Michael Richard Wambura, amewakingia kifua wanachama 69 waliosimamishwa na uongozi mpya na kusema kitendo hicho kinajenga misingi...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Tunahitaji ujasiri si msaada
TUMESHTUSHWA na taarifa zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuwa kuna mtandao mkubwa wa majangili wanaoendesha biashara haramu ya pembe za ndovu. Kauli hii ni ya kushtusha kwa kuwa serikali haipaswi...
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Tunahitaji katiba ya maridhiano
KESHOKUTWA Bunge Maalum la Katiba, lililoahirishwa Aprili 16 mwaka huu, linatarajia kuendelea na vikao vyake bila uwepo wa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). UKAWA walisusia vikao vya...
9 years ago
Mwananchi28 Aug
‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Tunahitaji umakini Bunge la Katiba
NIMESIKITISHWA na jinsi Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilivyotendewa. Tunaalani vitendo vyote na matamshi yaliyolenga kuichafua Tume ya Katiba kwa malengo ya kisiasa. Kuchafuliwa ama kudhalilishwa kwa Tume ya Katiba...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Tunahitaji katiba yenye maridhiano
MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili leo, ni kauli ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, akimtaka Rais Jakaya Kikwete, awaombe radhi Watanzania kwa...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu
MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...