Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wavaa joho la CCM

MKAKATI wa kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) nje ya Bunge, ambao awali ulikuwa ukifanywa na viongozi na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje na ndani ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Shule kutimua watumia vipodozi, wavaa mlegezo

Askofu Mkuu wa KKKT, Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria,  Emmanuel MakalaSHULE ya Sekondari Mwadui iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, imetangaza kufukuza wanafunzi wote wanaotumia vipodozi, wanaovaa sketi fupi, milegezo na wanaotumia simu za mkononi shuleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Dhihaka ya joho na shahada

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kukataa kutunukiwa baadhi ya shahada hizo akizisemea kuwa ni sawa na kuvishwa kilemba cha ukoka

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta avaa joho la udikteta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.

Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.

Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akabidhiwa Joho na Cheti cha Shahada ya Doctor of Laws

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala akimkabidhi Rais Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete cheti cha Shahada ya Heshima ya Doctor of Laws(Honoris Causa) wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi Rais joho na cheti iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na maprofesa waandamizi wa chuo hicho.Tayari Rais Kikwete alishatunukiwa shahada hiyo katika mahafali ya 41 ya UDSM yaliyofanyika Octoba mwaka 2011. Profesa Agnes Mwakaje wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akimvika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi akana ukada CCM

ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anayedaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinyume na taratibu za jeshi, amekana tuhuma hizo akisema waulizwe viongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi afanya siasa CCM

ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi walaumiwa kuibeba CCM

Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC, Polisi ni mbeleko za CCM

APRILI  6,  mwaka huu, kutakuwa na uchaguzi mdogo Jimbo la Chalinze, kuziba nafasi iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Said Bwanamdogo, kufariki dunia Januari 22, mwaka huu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi watailinda CCM hadi lini?

HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, muasisi wa muungano wa Tanzania na Rais wa kwanza wa Tanzania baada ya muungano, katika moja ya hotuba zake alieleza kushangazwa na viongozi waliofuatia baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani