Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi akana ukada CCM

ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anayedaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinyume na taratibu za jeshi, amekana tuhuma hizo akisema waulizwe viongozi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

VICK KAMATA AKANA KUKAMATWA NA POLISI

MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekanusha habari zilizoripotiwa leo na gazeti moja la hapa nchini kuwa amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.Habari zilisema kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui. Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa wakitumiwa sms za...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kigogo CCM akana kupewa onyo

NA ANITA BOMA, IRINGA KUMEIBUKA sintofahamu kuhusiana na hatima ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu, anayedaiwa kuadhibiwa na Kamati ya Maadili kutokana na madai ya kukihujumu chama chake.
Awali, ilielezwa kuwa Jesca amepewa adhabu ya kusimamishwa uanachama, lakini baadaye ikabainika kuwa amepewa onyo kali kuhusiana na tuhuma hizo.
Hata hivyo, Jesca ameibuka na kueleza kuwa amekata rufani kupinga hatua zilizochukuliwa dhidi yake na kusisitiza kuwa uamuzi huo...

 

9 years ago

Habarileo

Akana kuhongwa asikate rufaa kura za maoni CCM

MMOJA wa wagombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani ambaye alishindwa kwenye kura za maoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdul Sharifu amekanusha kupewa fedha ili asikate rufaa dhidi ya matokeo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu la Katiba; Vita ya ukada dhidi ya uzalendo

>Macho na masikio ya Watanzania kwa sasa yapo  Dodoma ambako mjadala ya maandalizi ya mchakato wa kuandika Katiba Mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi afanya siasa CCM

ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi walaumiwa kuibeba CCM

Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC, Polisi ni mbeleko za CCM

APRILI  6,  mwaka huu, kutakuwa na uchaguzi mdogo Jimbo la Chalinze, kuziba nafasi iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Said Bwanamdogo, kufariki dunia Januari 22, mwaka huu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wavaa joho la CCM

MKAKATI wa kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) nje ya Bunge, ambao awali ulikuwa ukifanywa na viongozi na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje na ndani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi watailinda CCM hadi lini?

HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, muasisi wa muungano wa Tanzania na Rais wa kwanza wa Tanzania baada ya muungano, katika moja ya hotuba zake alieleza kushangazwa na viongozi waliofuatia baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani