Polisi akana ukada CCM
ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anayedaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinyume na taratibu za jeshi, amekana tuhuma hizo akisema waulizwe viongozi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM01 Oct
VICK KAMATA AKANA KUKAMATWA NA POLISI
MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekanusha habari zilizoripotiwa leo na gazeti moja la hapa nchini kuwa amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.
Habari zilisema kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui. Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa wakitumiwa sms za...
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Kigogo CCM akana kupewa onyo
Awali, ilielezwa kuwa Jesca amepewa adhabu ya kusimamishwa uanachama, lakini baadaye ikabainika kuwa amepewa onyo kali kuhusiana na tuhuma hizo.
Hata hivyo, Jesca ameibuka na kueleza kuwa amekata rufani kupinga hatua zilizochukuliwa dhidi yake na kusisitiza kuwa uamuzi huo...
9 years ago
Habarileo28 Aug
Akana kuhongwa asikate rufaa kura za maoni CCM
MMOJA wa wagombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani ambaye alishindwa kwenye kura za maoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdul Sharifu amekanusha kupewa fedha ili asikate rufaa dhidi ya matokeo.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Bunge Maalumu la Katiba; Vita ya ukada dhidi ya uzalendo
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Polisi afanya siasa CCM
ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Polisi walaumiwa kuibeba CCM
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
NEC, Polisi ni mbeleko za CCM
APRILI 6, mwaka huu, kutakuwa na uchaguzi mdogo Jimbo la Chalinze, kuziba nafasi iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Said Bwanamdogo, kufariki dunia Januari 22, mwaka huu,...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Polisi wavaa joho la CCM
MKAKATI wa kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) nje ya Bunge, ambao awali ulikuwa ukifanywa na viongozi na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje na ndani ya...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Polisi watailinda CCM hadi lini?
HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, muasisi wa muungano wa Tanzania na Rais wa kwanza wa Tanzania baada ya muungano, katika moja ya hotuba zake alieleza kushangazwa na viongozi waliofuatia baada...