Akana kuhongwa asikate rufaa kura za maoni CCM
MMOJA wa wagombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani ambaye alishindwa kwenye kura za maoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdul Sharifu amekanusha kupewa fedha ili asikate rufaa dhidi ya matokeo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Kishindo kura za maoni CCM
MTIKISIKO wa kura za maoni katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), mbali na kusababisha Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makogoro Mhanga kukihama chama hicho, pia umemalizika kwa … kukamatwa na maofisa wa Takukuru huko….
Mkoani Mbeya
Kama ilivyokuwa katika uchaguzi uliopita, Jimbo la Kyela liliendelea kuvuta hisia za wengi ndani na nje ya mkoa huo kutokana na mikakati ya zaidi ya miaka miwili kumng’oa Mbunge wake, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mauzauza kura za maoni CCM
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Nyalandu apeta kura za maoni CCM
Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini CCM, Lazaro Samwel Nyalandu, akiwashukru baadhi ya wapiga wake kwa kumpa kura za kutosha.Nyuma ni mke wake Faraja Kotta.
Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini kupitia CCM, Lazaro Samwel Nyalandu,akibebwa juu juu na wapiga kura na mashabiki wake kwenye viwanja vya CCM mkoa.
Lazaro Samwel...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Kura ya maoni CCM kufanyika leo
BAADA ya kupata mgombea wake wa urais na wagombea walioongoza katika kura za ubunge wa Viti Maalumu, mchakato wa uteuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo unahamia katika kura za maoni za wabunge wa majimbo, uwakilishi na udiwani nchi nzima.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
CCM yakataa kesi kura za maoni
9 years ago
Habarileo30 Aug
‘Sihami CCM kwa kushindwa kura za maoni’
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) mkoa wa Singida, Diana Chilolo amesema, hawezi kukimbilia upinzani kwa sababu ya kushindwa kwenye kura za maoni za ubunge viti maalumu.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Kimaro: Kura za maoni kaburi la CCM 2015
11 years ago
Michuzi08 Feb
MKUTANO WA KURA ZA MAONI ZA CCM JIMBO LA KALENGA
KAIMU Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga amewasihi wajumbe wa mkutano huo kumchangua...